- Thread starter
- #21
ona sasa huyu nae!!!!
Sipendi watu kama wewe Edson,
Watu mnaolalamika bila kutoa sababu.
HUWA MNAISHIA KUSEMA, "ona sasa huyu nae!!!!
ona sasa huyu nae!!!!
hiyo message au ujumbe wako mbona unahang? Hatuelewi tuchangie nini!!
mpende jirani yako kama unavyojipenda....sori...
Joyceline, sisi wengine tunakumindi tu hata kama Emma anaona wewe mikosi!
Jirani ni yupi maana Vitabu vya dini huwa sivielewi mara msamehe 7 x 70=490 au Usimtamani mke wa jirani yako hivyo kama siyo mke wa jirani yako nisawa kumtamani...
siwapendi kabisa watu wanaokula uchumi wa Taifa hili masikini wao tu wakijumuisha, ROSTAAAM, LOWAAASA MONDULI, KARAMAAAGI, EDO HOSEA, JKM, BENNY M, MWAYIKAA, NK. hukumu yao ni kwa masikini wanaoangami siwapendi kabisa na watanzania wasioelewa haki zao wanabaki kushabikia mafisadi.
sio kihivyo kama sikosei ww mtu mzma lakin full pumba man,,,,unajaza chance mada zakidosho..kajipange
Kina nani hao? au watu wa aina gani?
Wazungu, Waafrika, Wahindi, Wachina au..
Wafupi, wanene, warefu au...
wanaaongea sana, wapole au
be specific kuna watu wa aina na tabia nyingi
Inawezakana mpaka muda huu twajadili keshajisuisaid. Au keshajinyonga kwani huwa akina French socialogist -Emanuel Dukheim (1832-1882) kama nakosea nirekebishwe jamani) wa Ufaransa aliandika kama mtu hapendi wenzake basi huyo kujitoa mhanga si kitu cha ajabu.
Sipendi watu kama wewe Shapu,
Mtu ambaye asipoelewa kitu huwa na maneno makali badala ya kuchunguza kama kuna nini ndani ya mada husika.
Watu ambao mko too SHAPU kulaumu.
siwapendi watu ambao wanatumia muda wao mwingi hapa JF kufuatilia nani kapost nini waanze kuleta majungu na umbea umbea.
siwapendi watu ambao wanaponda post za wenzao hapa JF wakati wao hawapost zenye maana wala akili lakini watu wanawachunia, SIWAPENDI aaarrrghhh, au niwataje?