Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,107
- Thread starter
-
- #61
Eti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.
Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
Ndio nyie mnavaa boxa moja wiki nzimaKwanza hiyo kazi ya kufua kila siku anaiweza dobi peke yake,,,, usikute mtoa mada ni dobi
Anyway nguo za ndani moja unavaa kwa muda gani kwa siku na unafua baada ya kuvaa siku ngapi?Eti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.
Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
Bibi afyaunataka mke au Bibi afya.[emoji41]
Kwa sababu 3 is the minimum no of times binadamu wa kawaida anaweza kula bila kuathiri afya yake.Kwa nini unadhani nakula mara tatu nyumbani kwangu
Mkuu wanaopinga humu ndani ni wachafu,kwahiyo wamekuja kwa speed ya 5G kutetea uchafu waoaisee ww ni Mchafu hata mm huwa sirudii nguo kabisa bila kuifua
Au jamaa we ni kauka nikuvae?
Haya maelezo yanaonyesha We ni mchafu sana!Eti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.
Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
Mbona kwenye comment yangu nimesema?Anyway nguo za ndani moja unavaa kwa muda gani kwa siku na unafua baada ya kuvaa siku ngapi?
Achezee makofi kisa nini?
Ndio nyie mnavaa boxa moja wiki nzima
Kwani nimebisha?Haya maelezo yanaonyesha We ni mchafu sana!
Kufua kila siku kipaji jamani..siweziKwanza hiyo kazi ya kufua kila siku anaiweza dobi peke yake,,,, usikute mtoa mada ni dobi
Kufua shuka baada ya siku mbili uwiii icho kibarua kilinishindaga kabisaNguo ya kitenge ufue kila unapovaa mbona utaichukia ndani ya muda mfupi sana, watakuja wadada hapa watakuambia wanafua mashuka kila baada ya siku mbili. Mtu naoga nalala nikiwa msafi nilalie shuka siku mbili inahu
Nimekuja
Wewe ni jinsia ganiKwa jinsi nilivyozea nikiwa bachelor nguo navaa Mara moja na nikivua hapo hapo nazifua japo nipo busy Mara nyingi lakini ni msafi 24 hours, nikila papuchi ghetto Demu akitoka hapo hapo nafua shuka!
Sasa sipati picha nikipata Mke mchafu ambae ana tabia ya kurundika nguo wiki nzima hadi zianze kunuka uvundo ndio azifue aisee!atachezea makofi daily
Naomba kazi ya udobi tafazali[emoji3]Eti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.
Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
Nina house girls wawili.Naomba kazi ya udobi tafazali[emoji3]