Sipendi mwanamke aniombe hela

Sipendi mwanamke aniombe hela

Sijajua ni kwamba ni roho mbaya au ni ushamba au ni kutojua matunzo ya mwanamke,sipendi mwanamke aniombe hela, yaani kama nina mwanamke halafu akaniomba hela basi ajue tunakosana hapo na nakuwa simtaki tena na namba yake nafuta,hata kama kaomba 4000 huwa naumia sana nikimpa.Sasa sijajua hii maana yake nini.
Same problem bro.. Na ukitaka kujua kama mwanamke anakupenda kwa dhati, we kuwa mmbahili tu. Asiyekupenda anajichuja mwenyewe.

However, with time learn to appreciate bcoz women are made to RECEIVE.
 
hyo ni roho mbaya saaaana mkuu, kwan we pussy huombi??
 
Hawa wanaume wa Dar wanafurahisha, anakupenda wewe anataka uende umependeza, ale mzigo uondoke, jamani ndiyo maana iliwekwa katikati ya miguu haiko kiganjani.
 
  • Thanks
Reactions: irk
Hawa wanaume wa Dar wanafurahisha, anakupenda wewe anataka uende umependeza, ale mzigo uondoke, jamani ndiyo maana iliwekwa katikati ya miguu haiko kiganjani.
Hahahahahaha tunda la katikati
 
Kama ni bahili baki bila mpenzi.mapenzi ni gharama mwanamke ni matunzo ili apendeze na kuvutia.
 
Kama ni bahili baki bila mpenzi.mapenzi ni gharama mwanamke ni matunzo ili apendeze na kuvutia.
 
Kama ni bahili baki bila mpenzi.mapenzi ni gharama mwanamke ni matunzo ili apendeze na kuvutia.
 
Hawa wanaume wa Dar wanafurahisha, anakupenda wewe anataka uende umependeza, ale mzigo uondoke, jamani ndiyo maana iliwekwa katikati ya miguu haiko kiganjani.
Kama ni hivo tangazeni kama mnauza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom