Kule Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 3,157
- 1,906
Hakuna furaha kubwa kwangu kama kuhonga mwanamke/wanawake.
Tatizo sasa hao wa kuhongwa wako wapi?
Tatizo sasa hao wa kuhongwa wako wapi?
Kwa hiyo hata kama ni mkeo akiomba hela za matumizi "humtaki tena na unafuta namba yake"?
You are not a husband material.
Mahari hulipwa kulingana na taratibu za dini ya wahusika! Wakati kwa wakrissto na waislamu mahali hutoa wanaume kwa wahindu mahali hutoa wanawake! Kuhusu papuchi kila mtu anayo...labda kila mtu alipie kwa huduma aliyopewa au aliyenogewa ndiyo alipie!!!Unakosea kusema hivyo coz kama ndivyo mahari zisingelipwa.
Si ana wazazi lakini? Unless otherwise awe mke kabisa!Kama ni bahili baki bila mpenzi.mapenzi ni gharama mwanamke ni matunzo ili apendeze na kuvutia.
Sasa urafiki wako kwake unafaida gani? Kumpa ushauri ambao wazazi hawawezi kuutoa?Si ana wazazi lakini? Unless otherwise awe mke kabisa!
Urafiki wetu ni kumichana tu, hayo maswala ya kunigeuza baba yake kabla hatujaoana uongo!!!Sasa urafiki wako kwake unafaida gani? Kumpa ushauri ambao wazazi hawawezi kuutoa?
Kwa hiyo wewe ulafiki na bwana ako ni kupeana hela?? Huo ni ushamba na ni umasikini wa fikraSasa urafiki wako kwake unafaida gani? Kumpa ushauri ambao wazazi hawawezi kuutoa?
Hakika mkuuUrafiki wetu ni kumichana tu, hayo maswala ya kunigeuza baba yake kabla hatujaoana uongo!!!