juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,475
- Thread starter
- #61
Kwa hiyo hela za bundle la humu wewe ndio unatupatia? Usimdharau usiemjua broKaz hawana wangekua na kaz ucngeona wakilalamika
Kwa hiyo hela za bundle la humu wewe ndio unatupatia? Usimdharau usiemjua broKaz hawana wangekua na kaz ucngeona wakilalamika
Hahahaaa, du ningekupata wew 2ngeenda sawa

Sasa mnatakaje jamani nyie wakaka?Mmezidi kutuona sisi ni ATM
Sasa mnatakaje jamani nyie wakaka?Mmezidi kutuona sisi ni ATM
Vya kwetu wanaomba hela zao wanabania. Wabaya hawaKaz hawana wangekua na kaz ucngeona wakilalamika
Gawa bure maana wewe hujamlipa alokuumba na hiyo papuchi,kwa nini mnatuuziaSasa mnatakaje jamani nyie wakaka?
Say no to free pGawa bure maana wewe hujamlipa alokuumba na hiyo papuchi,kwa nini mnatuuzia
UNDER AGE! OTHERWISE UNAKUWA MWILI TUU!Sijajua ni kwamba ni roho mbaya au ni ushamba au ni kutojua matunzo ya mwanamke,sipendi mwanamke aniombe hela, yaani kama nina mwanamke halafu akaniomba hela basi ajue tunakosana hapo na nakuwa simtaki tena na namba yake nafuta,hata kama kaomba 4000 huwa naumia sana nikimpa.Sasa sijajua hii maana yake nini.
Kisingizio Magu kabana. Watu hawana hela ni shida mjiniNyuzi za malalamiko ya hela zimekua nyingi sikuhizi
Tubuni njia zingine za kupataKisingizio Magu kabana. Watu hawana hela ni shida mjini
Na wewe usiombe manyumba au wajibika maana kila kieleacho kimeundwa sasa utaunda bila nyenzo?Sijajua ni kwamba ni roho mbaya au ni ushamba au ni kutojua matunzo ya mwanamke,sipendi mwanamke aniombe hela, yaani kama nina mwanamke halafu akaniomba hela basi ajue tunakosana hapo na nakuwa simtaki tena na namba yake nafuta,hata kama kaomba 4000 huwa naumia sana nikimpa.Sasa sijajua hii maana yake nini.
Mfahamishe vizuri aelewe ndgUnataka ule bure??? Bas kama huna hela kaa chongo wenye hela wakuonyeshe matumiz yake
Basi kila mtu na aumbe papuchi yake aiendee atakavyoPapuchi hakuumbwa nayo ili anipe kwa hela