Sipendi mwanamke aniombe hela

Sipendi mwanamke aniombe hela

chonga kinyago kikupe papuchi ambayo huwezi pata gharama maana kitakuwa
hakili chakula
hakivai
hakipaki lotion
hakinyoi mazivu
hakibleed nk
Kwani asipokuwa na mimi hayo mambo yote atafanyiwa na nani?
 
Inamaana mkuu hata hao watoto wako huwahudumii maana ukiombwa hela unachukia au inakuwaje hapo. Na vipi ndugu zako wakike maana nao ni wanawake au wanawake gani unaoongelea hapa. Na unavosema unapenda sana ngono inamaana wanawake woooote unaongonoka nao hujawai kutoa hata mia?
Kumbe huna akili??
 
Sasa kwa huku kijijini kwenu, unawapa magunia ya mahindi, maharage, mikungu ya ndizi, Mihogo, nyama poli etc. Na huwa unawanunuliaga nguo, viatu n.k. Unafanya vizuri sana mkuu endelea. Usitoe hela toa hivyo vitu.
 
Sasa kwa huku kijijini kwenu, unawapa magunia ya mahindi, maharage, mikungu ya ndizi, Mihogo, nyama poli etc. Na huwa unawanunuliaga nguo, viatu n.k. Unafanya vizuri sana mkuu endelea. Usitoe hela toa hivyo vitu.
Kumbe na wewe huna akili pia
 
Wala sku hizi hawapo wanaojua kushika wanaume,wamekaa kibiashara zadi!
 
Tatizo hela zingekuwepo wala usingepiga kelele ungekuwa unatoa tu.
 
Kama kuna ki2 nashindwa ni kumuomba baby hela ila maajabu ya musa sivyo anavyonitunza..akinipa sikatai lakn
na uendelee kumpa heshima yake
 
Mtakacha mvungun shart uiname huna
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom