Sipendi mwanamke aniombe hela

Sipendi mwanamke aniombe hela

chonga kinyago kikupe papuchi ambayo huwezi pata gharama maana kitakuwa
hakili chakula
hakivai
hakipaki lotion
hakinyoi mazivu
hakibleed nk
 
Sijajua ni kwamba ni roho mbaya,au ni ushamba au ni kutojua matunzo ya mwanamke.sipendi mwanamke aniombe hela,yaani kama nina mwanamke harafu akaniomba hela basi ajue tunakosana hapo na.nakuwa simtaki tena na namba yake nafuta.hata kama kaomba 4000.huwa naumia sana nikimpa.sasa sijajua hii maana yake nini
Bro sasa umezidisha,yaani 4000 tu na namba unafuta? basi chaputa inakupa jeuri sio bure,maana ukizoea chaputa basi mademu unawaona kenge maji kabisa,kwa hiyo tafuta tiba ya kisaikolojia bro na pia acha mchezo wako wa kuangalia picha za matusi acha kabisa utapofuka macho.
 
Kama kuna ki2 nashindwa ni kumuomba baby hela ila maajabu ya musa sivyo anavyonitunza..akinipa sikatai lakn
Wacha weeeeeee yaani unatudanganya hivihivi ili tuingie mkenge ama kweli shetani haachi lake.
 
  • Thanks
Reactions: irk
Hiyo sio roho mbaya kwa sababu mmepangwa 7 we usipompa ukimuona kanawiri ujue mi na wenzangu tuna muweka mjini kwa, kula,mavazi, na nk natunapewa cha uvunguni
 
Sijajua ni kwamba ni roho mbaya,au ni ushamba au ni kutojua matunzo ya mwanamke.sipendi mwanamke aniombe hela,yaani kama nina mwanamke harafu akaniomba hela basi ajue tunakosana hapo na.nakuwa simtaki tena na namba yake nafuta.hata kama kaomba 4000.huwa naumia sana nikimpa.sasa sijajua hii maana yake nini
Mjini hapa ukisusa wenzio twalaaa
 
kuwa na mwanamke mmoja wa malengo ya mke afu muingize katika bajeti yako ya fedha yaani hakikisha kila mwezi au kila baada ya wiki mbili unampa kiasi fulani cha fedha hapo hatokuwa na habari za kukuombaomba hovyo, nahisi chanzo vha kuchukia kuombwa hela ni kwa kuwa anakuomba ghafla na wewe unakuwa hiyo hela umeiwekea malengo fulani tayari...kuna gharama haziepukiki mkuu lazima uzikabili vinginevyo ipo siku utapata umpendae kwa dhati ambaye huwezi kumuacha ila sababu ya ubahili wako huo ukajikuta unaachwa na hapo utapata mawazo, simanzi na itaathiri hata shughuli zako kama kazini au masomo kama wasoma
 
Mke sio mwanamke? Rudia kusoma kichwa cha habari yako
 
Kuna tofauti katika maneno haya
MCHOYO . ..
MBAHILI....
MCHUMI....
KUKOSA HELA
Sijui unajiweka kundi lipiii?
 
mwanamke anayejiheshimu hawezi kukuomba hela hata siku moja labda muwe tayari ni wachumba
 
Watoto wangu hawajambo mkuu na hata mama zao ni wazima,ila ngono sijaacha mkuu bado napenda sana tu
Inamaana mkuu hata hao watoto wako huwahudumii maana ukiombwa hela unachukia au inakuwaje hapo. Na vipi ndugu zako wakike maana nao ni wanawake au wanawake gani unaoongelea hapa. Na unavosema unapenda sana ngono inamaana wanawake woooote unaongonoka nao hujawai kutoa hata mia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom