Sipendi kuoga

Sipendi kuoga

Jamani mnisaidie au utakuwa ugonjwa au nimerogwa katika kitu ambacho sipendi ni kuoga sijui kwanini yaani ninaweza pita siku 2 mpaka tatu sijaoga hata nikienda kazini naingia bafuni napiga passport size natoka.
Ungekua huko kazini kwako ni gereji usinge enda bila kuoga.
 
Daah umenikumbusha mbali sana maisha ya O level.

Kuna jamaa alikua hataki kuoga kabisa yaani ana nawa uso tu alikua anakaa hata wiki mbili hajaoga.

Ila jamaa ikipita mwezi walikua wanamkamata kwanguvu wanamuogesha.

Yaani ilikua akioga mwenyewe bila kulazimishwa inakua News mabweni yote.
 
Jamani mnisaidie au utakuwa ugonjwa au nimerogwa katika kitu ambacho sipendi ni kuoga sijui kwanini yaani ninaweza pita siku 2 mpaka tatu sijaoga hata nikienda kazini naingia bafuni napiga passport size natoka.
Kunya vipi si unakunya?
 
Daah umenikumbusha mbali sana maisha ya O level.

Kuna jamaa alikua hataki kuoga kabisa yaani ana nawa uso tu alikua anakaa hata wiki mbili hajaoga.

Ila jamaa ikipita mwezi walikua wanamkamata kwanguvu wanamuogesha.

Yaani ilikua akioga mwenyewe bila kulazimishwa inakua News mabweni yote.

 
Jamani mnisaidie au utakuwa ugonjwa au nimerogwa katika kitu ambacho sipendi ni kuoga sijui kwanini yaani ninaweza pita siku 2 mpaka tatu sijaoga hata nikienda kazini naingia bafuni napiga passport size natoka.
Lite toto ambalo kuoga ilikuwa mpaka kwao wapike wali limekuwa jitu zima.
 
Kwanza kiafya haitakiwi kuoga kila siku..hutakiwi "kuufua" mwili wako! Ngoja JF doctors waje..
 
Jamani mnisaidie au utakuwa ugonjwa au nimerogwa katika kitu ambacho sipendi ni kuoga sijui kwanini yaani ninaweza pita siku 2 mpaka tatu sijaoga hata nikienda kazini naingia bafuni napiga passport size natoka.
Wataalam wa afya wanashauri kuoga kwa wiki ×2... hii inasaidia kutunza ngoz
 
Daah umenikumbusha mbali sana maisha ya O level.

Kuna jamaa alikua hataki kuoga kabisa yaani ana nawa uso tu alikua anakaa hata wiki mbili hajaoga.

Ila jamaa ikipita mwezi walikua wanamkamata kwanguvu wanamuogesha.

Yaani ilikua akioga mwenyewe bila kulazimishwa inakua News mabweni yote.
 
Back
Top Bottom