wana forum, nina week moja sasa hapa jijini dodoma, kuna mafunzo flani hivi yanafanyika hapa milembe hospitali.
changamoto ni sehemu ya kulala wakuu, nimezungukia guest za hapa karibu nimeonyeshwa vyumba vyao ,
mmmmmmh, kweli ni wachafu ! bei zao sasa ndo utachoka elfu 20 per dai.
nikapata nyingine ambayo ni angalu wana jitahidi usafi kwa shilingi elfu 30.
asalaleeeeeee kuingia ndani hakuna maji , huduma mbovu,
daaaaaah. kwa mazingira haya sitaki kulala tena guest.
Ombi; nyie mnao miliki haya ma guest house himizeni wafanyakazi wenu kuwa wasafi hata kwa kiwango cha kokoto.
asante.
MIMI