Sipendi kulala guest;

Sipendi kulala guest;

wana forum, nina week moja sasa hapa jijini dodoma, kuna mafunzo flani hivi yanafanyika hapa milembe hospitali.


changamoto ni sehemu ya kulala wakuu, nimezungukia guest za hapa karibu nimeonyeshwa vyumba vyao ,

mmmmmmh, kweli ni wachafu ! bei zao sasa ndo utachoka elfu 20 per dai.



nikapata nyingine ambayo ni angalu wana jitahidi usafi kwa shilingi elfu 30.


asalaleeeeeee kuingia ndani hakuna maji , huduma mbovu,

daaaaaah. kwa mazingira haya sitaki kulala tena guest.





Ombi; nyie mnao miliki haya ma guest house himizeni wafanyakazi wenu kuwa wasafi hata kwa kiwango cha kokoto.



asante.

MIMI
Inategemea na aina ya wateja wao, wenyewe wanaona fresh tu. Si umesema upo mirembe sio 😁
 
Haswaaa mwenzetu kasema yupo Mirembe hosp na Kama tujuwavyo Hawa wenzetu wateja wa Mirembe Hali zao wanapenda Nini hivyo tumvumilie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom