Sipendi kabisa mwanamke anayesuka

Sipendi kabisa mwanamke anayesuka

Naona dada wa watu anahisi ni moja ya dalili ya kuelekea kujifunga mkanda. Ameghafirika jitahidi kumshawishi mkuu!
 
vazi la mwanamke la kwanza ni nywele.. sina maana nywele bandia nywele zake asili...naamini na wewe kuna mapungufu unayo anayachukulia jitahidi umchukulie mwenzio
Miss chaga tukutane leo
 
hahaa,ni PM namba zake mkuu
Kuna mawili;
1. Umeanza kumchoka dada wa watu koz umemtumia utakavyo. Nasema hivyo kwa sabab kama hoja ni nywele ulimkuta Nazo.
2. Bado hujajitathimini vizur kipi hasa ni kivutio kwako toka kwa mwanamke, kilichokufanya umtamani siku ya kwanza kikumbuke vizuri afu komaa nacho hicho hicho, eg chura, reception nk. Mapungufu madogo madogo kila mwanamke anayo...utazunguka sana bro na ndo uplay boy unapoanzia....
 
Mambo mengine kuoneana banah,
Sasa km yy anapenda kusuka ndo anyoe eti kwa sababu yko tu? Yy angekwambi uvae pensi hapendi suruali ungekubali?? Au kwa kua anakupenda tu basi ndo umuonee.
 
ata mm npo upande wako mkuu, n swala la interest tu. sema waungwana wanashindwa kuelewa. na nafkr hzo n facts ambazo znaweza kutumika kumpata yule umeumbiwa., kuna wengne wanavutiwa na makalio, wengne matit and so on. mm bnafs napenda sana asie na mambo meng, urembo wake zaid ujengwe kwenye mavaz kuliko makeup, unamkuta mtu kajchora uson kawa kama simbilisi jicho la kushoto wanja wa blue la kulia wanja mwekundu, alafu umeptiliza adi shavun wenyewe wanaita sina mume aisee m hapana., ua najhs ata kutapka. na ata nywele mtindo wa afro ua unawapendeza zaid kuliko kuvaa hayo manywele yao bandia..
sema kuhusu inshu yako nenda nae taratbu kama anakupenda kwel ata kuelewa tu. mwanamke mwenye mapenz ya dhat kwako, yaan yule anae kupenda kwel, ua yuko teyar kufanya kila kitu kwa ajili yako ata kuhatarsha maisha yake wakat flan. so swala kama hlo kwake sio big issue just take time and use romantic language
Umeongea vzr sana.
 
Dunia sasa inaelekea kubaya... Hivi sasa mmeanza kupendea nywele??

Wenzako wanakuambia mwanamke nywele, Kijana angalia sana usije ukaanza kutamani wanaume wenzio.

Sote tusimame kumwombea mleta mada asiingie kwenye ukameruni
Teh, tuko pamoja kwenye maombi.
 
18.Short-Hair-for-Black-Women.jpg
african-american-short-hairstyles-natural-style.jpg
best-short-hairstyles-for-black-women-12.jpg
Easy-short-hairstyles-for-black-women.jpg
felicia-leatherwood.jpg
Flaviana+Matata+Rush+HeARTS+Education+Luncheon+_M2RN0a10awl.jpg
Flavian-matata.jpg
Nancy-Sumari.jpg
Nancy-Sumari-husband.jpg
 
Sasa hujamuoa unaogopa gharama Ukimuona si ndo utamnyoa upara ili zisiote haraka
 
Kama ananywele zake za asili wacha asuke au ziwe ndefu abane kawaida tu na akitaka kunyoa anyoe kwa mapenz yake binafsi pia lugha nzuri kumwambia naamini ataelewa.

Vitu vingne pia muwe mnafanya kwa vitendo huwa tunawaelewa zaidi nunua mafuta mazuri ya nywele natural mpeleke afu unaanza kumwambia daaaa haya mafuta nimeambiwa hivi na vile vp hujapenda ukifanya nywele you will look so cute ever kwanin asielewe hapo kalalia kifua sio kuongeaaa mpka mtu anune Kwanin sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom