Sipendezwi na jamii inavyomchukulia Mwanamke

Sipendezwi na jamii inavyomchukulia Mwanamke

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,488
Reaction score
65,838
Hellow Africa

Huwa sijawai pendwa ata kidogo jamii inavyomchukulia mwanamke ni kama kiumbe anachostahili fedhea aibu uonevu kitu ambacho si sawa.

Mwanaume anamchukua video mwanamke kisha anaenda kuitupia mtandaoni mwanaume huyo anasifiwa na jamii jamaa alikuwa moto jamaa ana kazi nzuri huku mwanamke anafedheheshwa, wanawake hawana akili alikubalije akachukuliwa video

Mimi nimesoma chuo fulani kuna jamaa mmoja alikuwa anatongoza wanawake kisha anawekewa dawa za kulevya akiwa anakula anaweka simu yake vizuri na kisha kuchukua video ila ikija kuvuja muhathirika mkubwa hapa ni mwanamke

Wanaume na sisi tuna watoto wa kike je utajisikiaje siku mwanao wa kike akifanyiwa hivyo? Tubadilike na tulinde heshima ya mtu mfano hata hapa JF kuna picha zinatembea pm za mtu fulani.

Maana ya pm ni nin? Na kwanini utoe hayo mambo pm ukasambaza pm za wengine? Ndio maaana wanawake wa JF wanachukulia wanaume wa JF hatujitambui tuna utoto mwingi sana

Ukichat na dem pm kaa kimya yeye akisema asambaze zako wewe ndio utabebwa kichwa ila mwezako kashaumia
 
Lakini hili ni zao la mwanaume mwanamke anajua akifanya hivi lazima mwanamke atakuwa amemfedhehesha likin aliazisha mwanaume hii kitu ukifwatilia historia
 
Hellow Africa

Huwa sijawai pendwa ata kidogo jamii inavyomchukulia mwanamke ni kama kiumbe anachostahili fedhea aibu uonevu kitu ambacho si sawa.

Mwanaume anamchukua video mwanamke kisha anaenda kuitupia mtandaoni mwanaume huyo anasifiwa na jamii jamaa alikuwa moto jamaa ana kazi nzuri huku mwanamke anafedheheshwa, wanawake hawana akili alikubalije akachukuliwa video

Mimi nimesoma chuo fulani kuna jamaa mmoja alikuwa anatongoza wanawake kisha anawekewa dawa za kulevya akiwa anakula anaweka simu yake vizuri na kisha kuchukua video ila ikija kuvuja muhathirika mkubwa hapa ni mwanamke

Wanaume na sisi tuna watoto wa kike je utajisikiaje siku mwanao wa kike akifanyiwa hivyo? Tubadilike na tulinde heshima ya mtu mfano hata hapa JF kuna picha zinatembea pm za mtu fulani.

Maana ya pm ni nin? Na kwanini utoe hayo mambo pm ukasambaza pm za wengine? Ndio maaana wanawake wa JF wanachukulia wanaume wa JF hatujitambui tuna utoto mwingi sana

Ukichat na dem pm kaa kimya yeye akisema asambaze zako wewe ndio utabebwa kichwa ila mwezako kashaumia
Umeshawahi jiuliza kwanini Me wanaokuwaga serious sana na Ke kimahusiano hufa mapema?

Tusipangiane namna ya kuishi na Ke.


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom