Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,488
- 65,838
Hellow Africa
Huwa sijawai pendwa ata kidogo jamii inavyomchukulia mwanamke ni kama kiumbe anachostahili fedhea aibu uonevu kitu ambacho si sawa.
Mwanaume anamchukua video mwanamke kisha anaenda kuitupia mtandaoni mwanaume huyo anasifiwa na jamii jamaa alikuwa moto jamaa ana kazi nzuri huku mwanamke anafedheheshwa, wanawake hawana akili alikubalije akachukuliwa video
Mimi nimesoma chuo fulani kuna jamaa mmoja alikuwa anatongoza wanawake kisha anawekewa dawa za kulevya akiwa anakula anaweka simu yake vizuri na kisha kuchukua video ila ikija kuvuja muhathirika mkubwa hapa ni mwanamke
Wanaume na sisi tuna watoto wa kike je utajisikiaje siku mwanao wa kike akifanyiwa hivyo? Tubadilike na tulinde heshima ya mtu mfano hata hapa JF kuna picha zinatembea pm za mtu fulani.
Maana ya pm ni nin? Na kwanini utoe hayo mambo pm ukasambaza pm za wengine? Ndio maaana wanawake wa JF wanachukulia wanaume wa JF hatujitambui tuna utoto mwingi sana
Ukichat na dem pm kaa kimya yeye akisema asambaze zako wewe ndio utabebwa kichwa ila mwezako kashaumia
Huwa sijawai pendwa ata kidogo jamii inavyomchukulia mwanamke ni kama kiumbe anachostahili fedhea aibu uonevu kitu ambacho si sawa.
Mwanaume anamchukua video mwanamke kisha anaenda kuitupia mtandaoni mwanaume huyo anasifiwa na jamii jamaa alikuwa moto jamaa ana kazi nzuri huku mwanamke anafedheheshwa, wanawake hawana akili alikubalije akachukuliwa video
Mimi nimesoma chuo fulani kuna jamaa mmoja alikuwa anatongoza wanawake kisha anawekewa dawa za kulevya akiwa anakula anaweka simu yake vizuri na kisha kuchukua video ila ikija kuvuja muhathirika mkubwa hapa ni mwanamke
Wanaume na sisi tuna watoto wa kike je utajisikiaje siku mwanao wa kike akifanyiwa hivyo? Tubadilike na tulinde heshima ya mtu mfano hata hapa JF kuna picha zinatembea pm za mtu fulani.
Maana ya pm ni nin? Na kwanini utoe hayo mambo pm ukasambaza pm za wengine? Ndio maaana wanawake wa JF wanachukulia wanaume wa JF hatujitambui tuna utoto mwingi sana
Ukichat na dem pm kaa kimya yeye akisema asambaze zako wewe ndio utabebwa kichwa ila mwezako kashaumia
