"Miaka ya 1983 alilazimishwa kujiuzulu akidaiwa kutaka kuipindua serikali halali ya Mwai Kibaki."
Usipotoshe wana JF, Kibaki hakuwa rais wa Kenya wakati huo. Rais allikuwa Moi kama chanzo cha habari ulichokiweka mwenyewe kinavyoshuhudia. Kwa hiyo Njonjo alituhumiwa kutaka kumpiku Moi na siyo Kibaki.
"Miaka ya 1983 alilazimishwa kujiuzulu akidaiwa kutaka kuipindua serikali halali ya Mwai Kibaki."
Usipotoshe wana JF, Kibaki hakuwa rais wa Kenya wakati huo. Rais allikuwa Moi kama chanzo cha habari ulichokiweka mwenyewe kinavyoshuhudia. Kwa hiyo Njonjo alituhumiwa kutaka kumpiku Moi na siyo Kibaki.
kazi kwelikweli"Miaka ya 1983 alilazimishwa kujiuzulu akidaiwa kutaka kuipindua serikali halali ya Mwai Kibaki."
Usipotoshe wana JF, Kibaki hakuwa rais wa Kenya wakati huo. Rais allikuwa Moi kama chanzo cha habari ulichokiweka mwenyewe kinavyoshuhudia. Kwa hiyo Njonjo alituhumiwa kutaka kumpiku Moi na siyo Kibaki.
Charles Njonjo ni Mmoja kati ya waliopata kuwa wanasiasa mashuhuri wa Kenya miaka ya 1960-1980, ambaye pia alipata kuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Kenya, akiwa na digrii ya sheria aliyoipata Afrika Kusini.
Bwana huyu pia alipata kuwa Mbunge na Waziri wa Sheria na katiba katika serikali ya Kenya, na hadi sasa yuko juu sana kwenye list ya Matajiri wanaoongoza Kenya.
Miaka ya 1983 alilazimishwa kujiuzulu akidaiwa kutaka kuipindua serikali halali ya BABA MOI.
Lakini, mbali ya kuwa kichocheo kikubwa sana cha uvunjifu wa iliyokuwa Jumuia ya Afrika Mashariki ya mwanzo, kali zaidi inaaminika kuwa huyu ndugu alipata kutoa kauli nyingi sana tata na za dharau kama ifuatavyo:
"Naona aibu sana kuwa Mkikuyu"
"Siwezi kabisa kushikana mkono na kusalimiana na mtu wa kabila la Luo"
"Nahisi kukosa amani na usalama nikipanda ndege inayoendeshwa na Mwafrika"
Sasa huu sijui ni ulimbikeni au ndo mambo ya akina Nge**leja!
CHANZO:http://en.wikipedia.org/wiki/Charles_Njonjo
Sishangai wakikuyu!Wako proud sana,hawaamini kuwa kabila lolota haliwezi kutawala Kenya.Baada ya Uhuru,wakawa kama playground for Brits!Kumbuka Kenyata na huyu Njonjo wakapewa wanawake wazungu!
Kabila ambalo ni bright Kenya ni Wajaluo!hawana majivuno,watu straight wanapenda shule.tulioenda JKT tuliiimba :Na Tom Mboya wa Kenya huo,ni kiongozi mzuri.....
Baada ya uhuru Kenyata alijitahidi kuwaianua wakikuyu wenzake ku pata ardhi huko Rift valley kwa akina Moi.
Mpaka leo haijulikani nani aliwaua Dr Robert Ouko na Tom Mboya wote wajaluo.
Wakikuyu wana wivu sana kwa wajaluo.Huwezi kuamini rafiki yangu mkikuyu alikuwa hataki Obama awe rais,maana mkikuyu hataki kusikia mjaluo amesucced.
Charles Njonjo ni Mmoja kati ya waliopata kuwa wanasiasa mashuhuri wa Kenya miaka ya 1960-1980, ambaye pia alipata kuwa mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Kenya, akiwa na digrii ya sheria aliyoipata Afrika Kusini.
Bwana huyu pia alipata kuwa Mbunge na Waziri wa Sheria na katiba katika serikali ya Kenya, na hadi sasa yuko juu sana kwenye list ya Matajiri wanaoongoza Kenya.
Miaka ya 1983 alilazimishwa kujiuzulu akidaiwa kutaka kuipindua serikali halali ya BABA MOI.
Lakini, mbali ya kuwa kichocheo kikubwa sana cha uvunjifu wa iliyokuwa Jumuia ya Afrika Mashariki ya mwanzo, kali zaidi inaaminika kuwa huyu ndugu alipata kutoa kauli nyingi sana tata na za dharau kama ifuatavyo:
"Naona aibu sana kuwa Mkikuyu"
"Siwezi kabisa kushikana mkono na kusalimiana na mtu wa kabila la Luo"
"Nahisi kukosa amani na usalama nikipanda ndege inayoendeshwa na Mwafrika"
Sasa huu sijui ni ulimbikeni au ndo mambo ya akina Nge**leja!
CHANZO:http://en.wikipedia.org/wiki/Charles_Njonjo
Huyu bwana na miongoni mwa waafrika wenye nyodo kuna wakati nilisoma na kuona picha moja katika gazeti la wakati ule mfanyakazi amevaa suti yenye herufi CN na chini ya picha kulikuwa na maneno yalosema kuwa ilikuwa ikimaanisha Charles Njonjo. hivi sasa anashughulika nini huyu bwana?
mwenye habari aweke jamvini si vibaya kuwajua viongozi wetu nchi za afrika mashariki