Sioni Umuhimu wa Muungano kati yetu na Wanzanzibar

Ujinga mtupu

JF-Expert Member
Aug 16, 2017
851
1,887
Habari za Mchana.

Mimi ni kijana mdogo ila nina hoja chache sana za kujiuliza maana nina imani kwa elimi yangu ya shule niliyoipata inanipa wigo mpana wa kutaka kupata upana wa hoja hizi.

1.Muungano wa Tanzania unampa favour tu mtu aliyetoka visiwani na sio mtu wa bara mfano kwenye mambo ya ajira wao wanzanzibar wanapata ajira Tanzania ila sisi hata mguu wa kuonekana unafanya kazi visiwani haitakiwi.

2.Wenzetu wako Dependent kwetu kwa kila kitu kuanzia Budget,chakula ,umeme lakini sisi hakuna tunacchotegemea kutoka kwao.

3.Social interaction kati ya watu wa bara na visiwani ni tofauto sana maan awatu wa visiwani ni wabaguzi sana wao wana tabia ya kujiona wako bora. Zaidi ya wengine hii kiuhalisia naona kama imepita na wakati...

4.Viongozi wa visiwani ni lazima washike nyadhifa mbalimbali katika uongozi wa bara ila ni ngumu kwa mtu wa bara kupata nafasi ya uongozi Tanzania

CONCLUSION.:SIJAONA UMUHIMU WA KUWA NA HUU MUUNGANO KATO YA TANGANYIKA NA ZANZIBAR
 
Sisi wazanzibar wenyewe hatuna noma na mtu
ushawahi kula chakula cha mwanamke kutoka zanzibara weye tuanzie hapo 😅😅😅
(Jokes)
 
Sijuagi kwa nini tunalazimishanaga kuwa na ushost na hawa wazenji
 
Una akili kuliko Nyerere na Karume sio?
Hao nao walikuwa watu tu, sio miungu...

Nidhamu ya woga imetuharibu sana, hata kipindi cha Bashite ukimkosoa utasikia "una akili kuliko bashite sio?" Na hapo akili imewekwa kivuli tu ila ukweli ni kwamba inazungumziwa power ya kukuweka jela, kukuadabidha kwa vyombo vya dola, n.k.
 
Hao nao walikuwa watu tu, sio miungu...

Nidhamu ya woga imetuharibu sana, hata kipindi cha Bashite ukimkosoa utasikia "una akili kuliko bashite sio?" Na hapo akili imewekwa kivuli tu ila ukweli ni kwamba inazungumziwa power ya kukuweka jela, kukuadabidha kwa vyombo vya dola, n.k.
Du nimekumbuka jina la bashite from kolomije bongo sihami
 
Huu Muungano utavunjwa na Muda, hii cohort iliyopo sasa ikiondoka , generation ya kuhoji kila kitu itashika hatamu, everything will be judged equally and accordingly. Huu Muungano ni wa kulazimisha kama ndoa ya mkeka, Zanzibar either iwe mkoa, au iwe nchi kamili. sio habari za nusu nchi, nusu mkoa.

Mara nyingi tunakimbilia point mbili tu: udugu na sababu za kiusalama. Lakini kungekuwa na ukwelihapa basi wanaohusika wangemaliza kabisa hii issue na kufanya zanzibar kuwa kama ilivyo sehemu yyt ile Tanzania. Hizi habari za Nusu Mkate ziishe. Muungano ni wa Nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar, Tanganyika iko wapi, Zanzibar inaonekana.
 
Back
Top Bottom