admissionletter
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 329
- 157
Ndugu Kipande acha kupotosha watu, hao watu wa hizo sehemu ulizozitaja (Kerege, Moga, Mbweni, Boko, Bunju, Tegeta, Ununio, Kunduchi, Mbezi ya Juu na Chini, Mwenge,Kijitonyama, Mikocheni, Msasani, Mwananyamala na Kinondoni) watatumia njia gani kufika kwenye hilo Daraja? Ujue hilo daraja linaanzia Coco beach, let say mimi natoka Kerege au Mbezi beach, kwanza nitakutana na foleni kubwa sana maeneo ya Tegeta na daraja la mlalakua. Watu wote wa sehemu hizo tukitaka kwenda coco beach ili kuja mjini itabidi tupitie njia ya msasani karibu na TANESCO Mikocheni, njia hii ni mpya lakini ni nyembamba sana, haiwezi kuhimili magari yote ya kutoka sehemu hizo ulizozitaja. Pili ukifika maeneo ya Kimweri road kuna foleni kubwa sana zinazosababishwa na Daladala na magari madogo yaendayo Masaki mwisho, Bararabara yote ya Msasani kuanzia mandazi road inafoleni sana nyakati zote. Sasa mtu atafikaje kwenye hilo daraja la Coco beach?
Simply hili Daraja litakua la wakaazi wa kile kinachoitwa MSASANI PENINSULA (MASAKI NA OYSTERBAY) ONLY. Na walengwa wakuu hapa ni Mabalozi, wazungu karibia wote wanaishi huko, Matajir na Viongozi wa serikali walio PORA NYUMBA ZA UMMA.
Suluhisho la foleni Dar liko kwenye sehemu kuu tatu.
1. Kuondoa junction na traffic lights kwenye maungio ya barabara kubwa kuu kama Morroco, Magomeni, Mwenge n.k. Nakujenga interchange kama ya Ubungo.
2. Upanuzi wa bararabara, na zijengwe kisasaa, mfano pale Sarender bridge, Daraja linaweza kutanuliwa pamoja na barabara yote ya Ali Hassan Mwinyi na kuwa na jia 12, njia 3 za kushoto kabisa ziwe za watu wa kinondoni, 6 za katikati za watu wanakwenda moja kwa moja Mwenge, na 3 za kulia za watu wa hiyo Msasani Peninsula.
3 Tuache kuingiza siasa kwenye mambo ya kiutaalamu, Kwa Raisi kuruhusu wafanya biashara ndogo ndogo (Machinga) kufanya biashara kwenye barabara kumeathiri sana barabara zetu. Mfano ukienda Kariakoo na Arusha mjini njia nyingi zinapitika kwa tabu sana kwa sababu hawa wamachinga wanapanga bithaa mpaka barabarani.
Tafadhali acha kuongea kitu usichokijua. Sisi tunaopitia njia hiyo ndio tunajua hali halisi. Njia ya kuingilia mjini kutoka maeneo yote niliyoyataja ni moja tu ambayo ni Salender Bridge. ina maana litakapojengwa daraja hili kutakua na njia mbili ya salender na hiyo ya Coco beach. Ukipita asubuhi kuanzia mwenge hadi morocco kuna foleni ambayo inaanzia njia panda salender. ukitokea kinondoni foleni inaanzia kwa manyanya au kinondoni muslim kwenda Salender. ukitokea masaki/oysterbay utakutana na foleni kuanzia maeneo ya Coco kwenda salender. ili kukwepa foleni ya morocco watu wengi wanaotokea mbezi, Tegeta na maeneo mengine hupita njia ya chini ya msasani wanakuja kutokea Oysterbay/Coco beach na wale wa kinondoni wanapitia leaders wanakuja mpaka st.peters wanatokea tena Coco beach wanakuja mpaka ubalozi wa marekani wa zamani kuelekea salender. Njia zote hizo foleni yake inasababishwa na kusubiriana kuingia mjini kwasababu njia ni moja tu ambayo ni salender. ndo maana tunasema kujengwa kwa daraja hilo ni ukombozi mkubwa kwa watu wa maeneo yote hayo. Wewe kama unakaa mbagala utajuaje uhalisia wa foleni za huku. fanyeni utafiti kabla ya kuja kudanganya watu huku.Ndugu Kipande acha kupotosha watu, hao watu wa hizo sehemu ulizozitaja (Kerege, Moga, Mbweni, Boko, Bunju, Tegeta, Ununio, Kunduchi, Mbezi ya Juu na Chini, Mwenge,Kijitonyama, Mikocheni, Msasani, Mwananyamala na Kinondoni) watatumia njia gani kufika kwenye hilo Daraja? Ujue hilo daraja linaanzia Coco beach, let say mimi natoka Kerege au Mbezi beach, kwanza nitakutana na foleni kubwa sana maeneo ya Tegeta na daraja la mlalakua. Watu wote wa sehemu hizo tukitaka kwenda coco beach ili kuja mjini itabidi tupitie njia ya msasani karibu na TANESCO Mikocheni, njia hii ni mpya lakini ni nyembamba sana, haiwezi kuhimili magari yote ya kutoka sehemu hizo ulizozitaja. Pili ukifika maeneo ya Kimweri road kuna foleni kubwa sana zinazosababishwa na Daladala na magari madogo yaendayo Masaki mwisho, Bararabara yote ya Msasani kuanzia mandazi road inafoleni sana nyakati zote. Sasa mtu atafikaje kwenye hilo daraja la Coco beach?
Simply hili Daraja litakua la wakaazi wa kile kinachoitwa MSASANI PENINSULA (MASAKI NA OYSTERBAY) ONLY. Na walengwa wakuu hapa ni Mabalozi, wazungu karibia wote wanaishi huko, Matajir na Viongozi wa serikali walio PORA NYUMBA ZA UMMA.
Suluhisho la foleni Dar liko kwenye sehemu kuu tatu.
1. Kuondoa junction na traffic lights kwenye maungio ya barabara kubwa kuu kama Morroco, Magomeni, Mwenge n.k. Nakujenga interchange kama ya Ubungo.
2. Upanuzi wa bararabara, na zijengwe kisasaa, mfano pale Sarender bridge, Daraja linaweza kutanuliwa pamoja na barabara yote ya Ali Hassan Mwinyi na kuwa na jia 12, njia 3 za kushoto kabisa ziwe za watu wa kinondoni, 6 za katikati za watu wanakwenda moja kwa moja Mwenge, na 3 za kulia za watu wa hiyo Msasani Peninsula.
3 Tuache kuingiza siasa kwenye mambo ya kiutaalamu, Kwa Raisi kuruhusu wafanya biashara ndogo ndogo (Machinga) kufanya biashara kwenye barabara kumeathiri sana barabara zetu. Mfano ukienda Kariakoo na Arusha mjini njia nyingi zinapitika kwa tabu sana kwa sababu hawa wamachinga wanapanga bithaa mpaka barabarani.
Mbagala tutawaletea mwendokasiKwa macho ya kawaida unaweza kufikiri lengo la daraja hili ni kupunguza foleni ya Salender Bridge na kuwaondolea wananchi wa Dar kero ya foleni. La hasha daraja hili linalojengwa kwa gharama kubwa halitapunguza foleni kwa sababu watakaotumia daraja hili ni watu wachache sana, (under utilised bridge).
Ukiangalia kwa jicho la tatu, lengo hasa ni kuwasaidia viongozi, mabalozi na wazungu wachache wanaoishi maeneo ya Osterbay na Masaki ambao hawazidi hata 200, labda wasikae kwenye foleni kwa muda mrefu wakichanganyika na walalahoi wa maeneo ya Mwenge, Kawe, Kunduchi, Tegeta, Boko na Bunju.
USHAURI: Kama lengo ni kupunguza foleni ya Salender Bridge ingefaa zaidi lijengwe daraja kubwa la nchi kavu kutokea maeneo ya Hananasifu au Magomeni hadi Muhimbili au Fire kuvuka bonde la Jangwani linalojaa maji kipindi cha mvua.
Daraja hili la Hananasifu - Muhimbili/Fire, lingehudumia watu wengi hasa wafanyabiashara wa Kariakoo na katikati ya jiji, ambulance, zimamoto na wafanyakazi wa kada za chini ambao ndio walio wengi, tofauti na daraja la Aga Khan - Coco beach ambalo litahudumia 'sana sana' wakazi wa Masaki na pengine kubaki 'idle' kwa kipindi kirefu.
Daraja kubwa la Jangwani si tu lingepunguza adha ya foleni ya Magomeni-Kariakoo/Posta lakini pia lingesaidia kupunguza magari yanayopita Salender Bridge.
Anyways kupanga ni kuchagua, tumechagua daraja la Coco beach kwa wadosi tukawaacha wa Mbagala wahangaike na foleni yao.
Ni ushauri na mawazo huru ya MwanaJF mzoefu Quinine.
Hili nimelisema jana hapa, lakini kama kawaida humu ni kupinga tu. Mtu wala hajawahi kutumia hio route ya msasani-oysterbay-selander lakini anabisha tu. Vile vile unaweza kuja hadi St Peter's ukakata kushoto ukalitafuta daraja shida iko wapi? Mbona daraja la Kigamboni liko karibu na Kurasini(yes km 3 kutoka kurasini) lakini mtu wa Kibada zaidi ya km 20 analitafuta ili tu kukwepa foleni ya pantoni.Tafadhali acha kuongea kitu usichokijua. Sisi tunaopitia njia hiyo ndio tunajua hali halisi. Njia ya kuingilia mjini kutoka maeneo yote niliyoyataja ni moja tu ambayo ni Salender Bridge. ina maana litakapojengwa daraja hili kutakua na njia mbili ya salender na hiyo ya Coco beach. Ukipita asubuhi kuanzia mwenge hadi morocco kuna foleni ambayo inaanzia njia panda salender. ukitokea kinondoni foleni inaanzia kwa manyanya au kinondoni muslim kwenda Salender. ukitokea masaki/oysterbay utakutana na foleni kuanzia maeneo ya Coco kwenda salender. ili kukwepa foleni ya morocco watu wengi wanaotokea mbezi, Tegeta na maeneo mengine hupita njia ya chini ya msasani wanakuja kutokea Oysterbay/Coco beach na wale wa kinondoni wanapitia leaders wanakuja mpaka st.peters wanatokea tena Coco beach wanakuja mpaka ubalozi wa marekani wa zamani kuelekea salender. Njia zote hizo foleni yake inasababishwa na kusubiriana kuingia mjini kwasababu njia ni moja tu ambayo ni salender. ndo maana tunasema kujengwa kwa daraja hilo ni ukombozi mkubwa kwa watu wa maeneo yote hayo. Wewe kama unakaa mbagala utajuaje uhalisia wa foleni za huku. fanyeni utafiti kabla ya kuja kudanganya watu huku.
Nakubaliana nawewe kuhusu mapendekezo yako yote ya suluhisho la foleni Dar. Lakini still Ujenzi wa daraja bado una umuhimu mkubwa as alternative way kwasasa.
Sio lazima wote mpitie njia hio mpya. Unaweza kupitia Maandazi road(kabla ya Zantel),unaweza kuingilia Namanga kuna kichochoro pale,unaweza kuingilia Don Bosco,unaweza kuingilia St Peter's,unaweza kuingilia DSTV office ya zamani kabla ya Dar free market(hii inatumika hadi kesho kuchepeukia Kenyatta drive) au hali ikiwa mbaya unaweza kuingilia Kaunda drive hizo zote ni njia unazoweza kutumia kulifikia daraja.Watu wote wa sehemu hizo tukitaka kwenda coco beach ili kuja mjini itabidi tupitie njia ya msasani karibu na TANESCO Mikocheni, njia hii ni mpya lakini ni nyembamba sana, haiwezi kuhimili magari yote ya kutoka sehemu hizo ulizozitaja. Pili ukifika maeneo ya Kimweri road kuna foleni kubwa sana zinazosababishwa na Daladala na magari madogo yaendayo Masaki mwisho, Bararabara yote ya Msasani kuanzia mandazi road inafoleni sana nyakati zote. Sasa mtu atafikaje kwenye hilo daraja la Coco beach?
Ndio mana hata mimi huwa nasema flyover ya tazara ni kwa ajili ya viongozi na wazungu wanaoenda au kutoka Airport wasikae foleni haliko kwa ajili ya kupunguza foleni na kusaidia wananchi.
Hivi unapanua Daraja la jangwani kwenda wapi? Kama njia za kuingilia mjini ni chache. So inapotokea jam kwenye njia moja inayoingia mjini maana yake mmestuck. Hapa tunachoongelea ni kuongeza njia za kuingilia mjini kwa lengo la kupanua wigo ili kuwe na option nyingi za kuingia na kutoka mjini. Unapopanua barabara unaongeza tu flexibility tu ya magari barabarani lakini huondoi tatizo la msingi. Halafu kumbuka huo upanuzi kwa jiji la Dar lilivyo ni lazima utahusisha ubomoaji wa miundombinu ikiwemo nyumba za watu. Hivyo kuna gharama kwenye ulipaji wa fidia n.kJadili hoja acha kuita wengine wapumbavu.
Hakuna mtu asiyeijua foleni ya Salender, lkn solution sio kujenga daraja la Coco beach.
Panua au jenga daraja la jangwani, panua barabara ya Kimara - Mlandizi, panua barabara ya Ali Hassan Mwinyi na Old Bagamoyo, panua barabara ya Mwenge-Tegeta-Bunju, bila kupanua hizo barabara zitakazopokea magari yatakayoshuka Coco beach bridge unafanya kazi bure ni sawa na kuhamisha foleni ya Salender kuipeleka Mwenge na Mikocheni.
Mkuu ebu tufundishe economic befits za hilo Daraja maana la kupunguza foleni linaonekana haliwezekani maana baada ya nagari kufika coc beach lazima yarudi tena barabara zetu zile zile kuendelea na safari ya uswazi.Umuhimu mnao uona hapo ufipa ni wa biashara ya mwenyekiti wenu tu ( Madawa)
Mimi siipingi kabisa ila ingekuwa na muendeleza wa another flyovers ili kuwe na maana zaidi. Hivi ukipita TAZARA na speed zako foleni si unaikuta hata kabla ya kufika Trafic lights za vingùngùti nambie Airport kweli utaiona kwa haraka? The same going to town, pale Changòmbe na Kamata.ENTEBBE EXPRESSWAY, ambayo lengo lake kuu ni kuunganisha Entebbe Airport na Kampala kwa haraka gharama yake ni: USD 476 million. Mradi hivi sasa unaendelea haujakamilika.
TAZARA Flyover ambayo lengo lake kuu ni kuunganisha Nyerere Airport na Dar City Center kwa haraka gharama yake ni: USD 45 million.
Fedha zinazotumika Uganda kwa lengo linalofanana na TZ zingeweza kujenga Flyovers 10!.
Muelewe umuhimu wa Airport. By the way, nyie nyie mnaopinga mtakapoenda Uganda mradi wao utakapoisha mtawasifia. Yet, huku mnapinga TAZARA Flyover!
Kwa macho ya kawaida unaweza kufikiri lengo la daraja hili ni kupunguza foleni ya Salender Bridge na kuwaondolea wananchi wa Dar kero ya foleni. La hasha daraja hili linalojengwa kwa gharama kubwa halitapunguza foleni kwa sababu watakaotumia daraja hili ni watu wachache sana, (under utilised bridge).
Ukiangalia kwa jicho la tatu, lengo hasa ni kuwasaidia viongozi, mabalozi na wazungu wachache wanaoishi maeneo ya Osterbay na Masaki ambao hawazidi hata 200, labda wasikae kwenye foleni kwa muda mrefu wakichanganyika na walalahoi wa maeneo ya Mwenge, Kawe, Kunduchi, Tegeta, Boko na Bunju.
USHAURI: Kama lengo ni kupunguza foleni ya Salender Bridge ingefaa zaidi lijengwe daraja kubwa la nchi kavu kutokea maeneo ya Hananasifu au Magomeni hadi Muhimbili au Fire kuvuka bonde la Jangwani linalojaa maji kipindi cha mvua.
Daraja hili la Hananasifu - Muhimbili/Fire, lingehudumia watu wengi hasa wafanyabiashara wa Kariakoo na katikati ya jiji, ambulance, zimamoto na wafanyakazi wa kada za chini ambao ndio walio wengi, tofauti na daraja la Aga Khan - Coco beach ambalo litahudumia 'sana sana' wakazi wa Masaki na pengine kubaki 'idle' kwa kipindi kirefu.
Daraja kubwa la Jangwani si tu lingepunguza adha ya foleni ya Magomeni-Kariakoo/Posta lakini pia lingesaidia kupunguza magari yanayopita Salender Bridge.
Anyways kupanga ni kuchagua, tumechagua daraja la Coco beach kwa wadosi tukawaacha wa Mbagala wahangaike na foleni yao.
Ni ushauri na mawazo huru ya MwanaJF mzoefu Quinine.
Ujue sio kila mtoa mada no cdm wengine wanaangalia uhalisia. Tutumie akili zetu kwenye kuwaza.Umuhimu mnao uona hapo ufipa ni wa biashara ya mwenyekiti wenu tu ( Madawa)
Mimi siipingi kabisa ila ingekuwa na muendeleza wa another flyovers ili kuwe na maana zaidi. Hivi ukipita TAZARA na speed zako foleni si unaikuta hata kabla ya kufika Trafic lights za vingùngùti nambie Airport kweli utaiona kwa haraka? The same going to town, pale Changòmbe na Kamata.
Mkuu wengine hatupingi miradi bali priorities, unajenga daraja unaacha feeder roads, OK magari yakishuka Coco beach bridge yanaenda wapi, ile barabara ya tanesco mikocheni ambayo hata kupishana magari mawili ni shida sanasana umehamisha foleni ya Salender Bridge kuipeleka Mlalakuwa bridge.
Hilo pia litajengwa.Tutakopa na pesa za kulipa tunazo.Tunataka pia ujenzi wa daraja la kuToka dar mpaka zenji
Ova
Wazee wa 'ndio mzee', akili Mashariki kichwa Magharibi.Wazee wa kupinga.
Yap. Ndio vipaumbele vyake.10% tu hamna lolote. SGR haijakamilika kishadakia kwingine.