Mpwa nakafahamu kale ka njia, ule ni uchochoro, hautapunguza foleni popote pale
Mkuu hili daraja la magomeni_fire_mhimbili ni daraja muhimu sana kuliko hata flyover za ubungo..Kwa macho ya kawaida unaweza kufikiri lengo la daraja hili ni kupunguza foleni ya Salender Bridge na kuwaondolea wananchi wa Dar kero ya foleni. La hasha daraja hili linalojengwa kwa gharama kubwa halitapunguza foleni kwa sababu watakaotumia daraja hili ni watu wachache sana, (under utilised bridge).
Ukiangalia kwa jicho la tatu, lengo hasa ni kuwasaidia viongozi, mabalozi na wazungu wachache wanaoishi maeneo ya Osterbay na Masaki ambao hawazidi hata 200, labda wasikae kwenye foleni kwa muda mrefu wakichanganyika na walalahoi wa maeneo ya Mwenge, Kawe, Kunduchi, Tegeta, Boko na Bunju.
USHAURI: Kama lengo ni kupunguza foleni ya Salender Bridge ingefaa zaidi lijengwe daraja kubwa la nchi kavu kutokea maeneo ya Hananasifu au Magomeni hadi Muhimbili au Fire kuvuka bonde la Jangwani linalojaa maji kipindi cha mvua.
Daraja hili la Hananasifu - Muhimbili/Fire, lingehudumia watu wengi hasa wafanyabiashara na wafanyakazi wa kada mbalimbali ambao ndio walio wengi ukilinganisha na wakazi wa Masaki, tofauti na daraja la Aga Khan - Coco beach ambalo litahudumia watu wachache na pengine kubaki 'idle' kwa kipindi kirefu.
Daraja kubwa la Jangwani si tu lingepunguza adha ya foleni ya Magomeni-Kariakoo/Posta bali pia lingesaidia kupunguza magari yanayopita Salender Bridge.
Anyways kupanga ni kuchagua, tumechagua daraja la Coco beach kwa wadosi tukawaacha wa Mbagala wahangaike na foleni yao.
Ni ushauri na mawazo huru ya MwanaJF mzoefu Quinine.
Mkuu kipaumbele chetu kwa sasa ni kuwafanya mabalozi wasikae foleni kwa muda mrefu, daraja la jangwani linalotumiwa na walalahoi likifurika wao wanauwezo wa kusubiri hata wiki maji yapungue ndipo wapite hawana haraka kama mabalozi.Mkuu hili daraja la magomeni_fire_mhimbili ni daraja muhimu sana kuliko hata flyover za ubungo..
Wazee wa kupinga.Kwa macho ya kawaida unaweza kufikiri lengo la daraja hili ni kupunguza foleni ya Salender Bridge na kuwaondolea wananchi wa Dar kero ya foleni. La hasha daraja hili linalojengwa kwa gharama kubwa halitapunguza foleni kwa sababu watakaotumia daraja hili ni watu wachache sana, (under utilised bridge).
Ukiangalia kwa jicho la tatu, lengo hasa ni kuwasaidia viongozi, mabalozi na wazungu wachache wanaoishi maeneo ya Osterbay na Masaki ambao hawazidi hata 200, labda wasikae kwenye foleni kwa muda mrefu wakichanganyika na walalahoi wa maeneo ya Mwenge, Kawe, Kunduchi, Tegeta, Boko na Bunju.
USHAURI: Kama lengo ni kupunguza foleni ya Salender Bridge ingefaa zaidi lijengwe daraja kubwa la nchi kavu kutokea maeneo ya Hananasifu au Magomeni hadi Muhimbili au Fire kuvuka bonde la Jangwani linalojaa maji kipindi cha mvua.
Daraja hili la Hananasifu - Muhimbili/Fire, lingehudumia watu wengi hasa wafanyabiashara na wafanyakazi wa kada mbalimbali ambao ndio walio wengi ukilinganisha na wakazi wa Masaki, tofauti na daraja la Aga Khan - Coco beach ambalo litahudumia watu wachache na pengine kubaki 'idle' kwa kipindi kirefu.
Daraja kubwa la Jangwani si tu lingepunguza adha ya foleni ya Magomeni-Kariakoo/Posta bali pia lingesaidia kupunguza magari yanayopita Salender Bridge.
Anyways kupanga ni kuchagua, tumechagua daraja la Coco beach kwa wadosi tukawaacha wa Mbagala wahangaike na foleni yao.
Ni ushauri na mawazo huru ya MwanaJF mzoefu Quinine.
Very true..Kwa macho ya kawaida unaweza kufikiri lengo la daraja hili ni kupunguza foleni ya Salender Bridge na kuwaondolea wananchi wa Dar kero ya foleni. La hasha daraja hili linalojengwa kwa gharama kubwa halitapunguza foleni kwa sababu watakaotumia daraja hili ni watu wachache sana, (under utilised bridge).
Ukiangalia kwa jicho la tatu, lengo hasa ni kuwasaidia viongozi, mabalozi na wazungu wachache wanaoishi maeneo ya Osterbay na Masaki ambao hawazidi hata 200, labda wasikae kwenye foleni kwa muda mrefu wakichanganyika na walalahoi wa maeneo ya Mwenge, Kawe, Kunduchi, Tegeta, Boko na Bunju.
USHAURI: Kama lengo ni kupunguza foleni ya Salender Bridge ingefaa zaidi lijengwe daraja kubwa la nchi kavu kutokea maeneo ya Hananasifu au Magomeni hadi Muhimbili au Fire kuvuka bonde la Jangwani linalojaa maji kipindi cha mvua.
Daraja hili la Hananasifu - Muhimbili/Fire, lingehudumia watu wengi hasa wafanyabiashara na wafanyakazi wa kada mbalimbali ambao ndio walio wengi ukilinganisha na wakazi wa Masaki, tofauti na daraja la Aga Khan - Coco beach ambalo litahudumia watu wachache na pengine kubaki 'idle' kwa kipindi kirefu.
Daraja kubwa la Jangwani si tu lingepunguza adha ya foleni ya Magomeni-Kariakoo/Posta bali pia lingesaidia kupunguza magari yanayopita Salender Bridge.
Anyways kupanga ni kuchagua, tumechagua daraja la Coco beach kwa wadosi tukawaacha wa Mbagala wahangaike na foleni yao.
Ni ushauri na mawazo huru ya MwanaJF mzoefu Quinine.
Hawajengi bure. Hivyo tutaminywa mahali ili kulipa.Hachelewi kuropoka kwamba linajengwa na Fedha za Watanzania kumbe linajengwa na Wakorea.
Tutakuwa tunaenda efm jogging kupita pale.Naomba ufafanuzi hilo daraja kama liananzia coco beach linaishia wapi kama ni Aghakhan pale halina msaada sana otherwise weekend watu kwebda kupiga picha wapenzi wao.
Kweli daraja litapunguza sana foleni kwa wakazi wa maeneo tajwa. Ingawa naunga mkono kujengwa kwa daraja hilo ila kuna kiukakasi hapo kidogo, je cost ya kujenga daraja hilo ina justify kiasi cha foleni litalopunguza?Inapendeza sana mtu anapopinga jambo, akatoa sababu kisha akaleta mapendekezo mbafala, Quinine hongera kwa hilo.
Tukirudi kwenye hoja. Kwa mtazamo wangu, hilo daraja litadaidia kupunguza foleni kwa wakazi wa Mwenge, Kawe, Mbezi, Kunduchi na maeneo yote ya huo ukanda.
Kumbuka kuna barabara imetengenezea kwa kiwango kizuri sana kuanzia pale Mikocheni Tanesco, inakuja kutokezea Msasani, hapo watumiaji wengi watapita cocobeach kuja kutokezea mjini posta.
Lakini kinachonitatiza, bado nasikia wanataka kuipanua barabara ya AlHassan Mwinyi tena, ikiwa ni hivyo, wangeobgeza tu upana wa daraja la zamani magari mengi yapite hapo kwa sababu msongamano unaanzia hapo kwenye daraja.
Wewe unaita wazee wa kupinga sisi tunaita kizazi cha kuhoji.Wazee wa kupinga.
Mkuu nadhani lengo kuu la kujenga daraja huwa siyo kubadilisha mandhari bali kurahisisha mawasiliano.Kweli daraja litapunguza sana foleni kwa wakazi wa maeneo tajwa. Ingawa naunga mkono kujengwa kwa daraja hilo ila kuna kiukakasi hapo kidogo, je cost ya kujenga daraja hilo ina justify kiasi cha foleni litalopunguza?
Lakini pia, nadhani kuna agenda nyingine ya mandhari ya jiji. Itabadilisha mtazamo wa jiji na kuitambulisha jiji. Maana meli yoyote itakayokuja Dar lazima walione.
Kama ilivyo daraja la Golden Gate la San Francisco. Yaani ukiutaja tu huo mji lazima na hilo daraja lionekane.
View attachment 816320
Kuzaliwa tu nchi moja na mwenye akili mdogo kama huyu no laana kubwa. Kweli wazo alilotoa mdau na mapendekezo hapo juu Kwako ukaona hiIo ndio la maana?? Huenda kweli mikesha ya mwenge imeleta kizazi cha hovyo kisichojielewa kama huyu.Umuhimu mnao uona hapo ufipa ni wa biashara ya mwenyekiti wenu tu ( Madawa)