Sioni tofauti kati ya RC huyu na yule anaemlinda

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Ni ujinga na unafiki uliopitiliza kumlaumu RC huyu anaelallamikiwa na wakati huo huo ukawa mtetezi wa yule anaemlinda.

Tatizo la msingi si RC huyu, bali ni yule aliemuweka hapo na kujifanya kipofu na kiziwa wa matendo yake.

Mimi binafsi sion tofauti ya hawa watu wawili na ndio maana wanaelewanma kwani waana hulka zinazofanana.Wote wawili,baba na mwanae ni tatizo kubwa.

Nina hakika hata RC huyu nae angekuwa anagawa vyeo,wale wanaolaumu kinafiki wangemsifia kama wanavyomtukuza baba yake na hata kukaa kimya kwa matendo yako.

Tuache unafiki!
 
Kweli tatizo siyo bashite bali aliyemweka hapo ndiye tatizo zaidi. Inaonekana hata yeye anamwogopa sana huyo dogo maana hata akifoka utaona ikifika kwa huyo dogo anakuwa mnyonge sana hata sauti anashusha. Lazima kuna makubwa huyo dogo anayo kuhusu huyo jamaa
 
Kweli tatizo siyo bashite bali aliyemweka hapo ndiye tatizo zaidi. Inaonekana hata yeye anamwogopa sana huyo dogo maana hata akifoka utaona ikifika kwa huyo dogo anakuwa mnyonge sana hata sauti anashusha. Lazima kuna makubwa huyo dogo anayo kuhusu huyo jamaa
Tumekuwa Taifa la wanafriki kupindukia!

Nchi za wenzetu wangedili na wote wawili yaani baba na mtoto.Sisi tunaendekeza unafiki!!
 
Ukiona mtoto ana kibri mtaani na kudharau wakubwa hata mzazi wake anapo ona utovu huo jua kwamba mtoto anatumiwa na mzazi tu..
 
Ukiona mtoto ana kibri mtaani na kudharau wakubwa hata mzazi wake anapo ona utovu huo jua kwamba mtoto anatumiwa na mzazi tu..
Tatizo kubwa la hapa Bongo ni kuona kuwa yule anaekalia kile kitu cha pale Magogoni anapaswa kuheshimiwa na kutukuzwa kama Mungu.Zitto na Lissu waliamua kumkosoa ila wakaonekana kama wahaini!

Saa hizi hata yeye atakuwa anasoma tu maoni ya watu na kutuona wote ni wajinga.
 
Isingekua tu wizi wa kura ili WaTz tusionekane Mbulurah pawepo na kuheshimu wapiga kura ilibidi lifanyike jambo la kihistoria la kung'oa mfumo mzima kama alivyojitahidi kuvunja ndani mwake ila mfumo ndio tatizo! Ngachoka Mimi na Babu Seya
 
Back
Top Bottom