Sioni press ya Humphrey Polepole leo ikifanyika

Sioni press ya Humphrey Polepole leo ikifanyika

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
997
Reaction score
2,320
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani

#########

Nahisi hata kama ni online mtandao unaweza kuzimika pia..
😅😅😅
 
Same here, kaleta dram za kutosha sijui anataka kukamatwa, ai lingekaa huku Nje, inaonekana hawa jamaa wanautamani uongozi wa hii nchi na wana backup, si rahisi libaki humu ndani
 
Hata huyo mwandishi atakuwa wa namna gani ku risk kazi na maisha yake!
Naungana nawe mleta mada.
 
Same here, kaleta dram za kutosha sijui anataka kukamatwa, ai lingekaa huku Nje, inaonekana hawa jamaa wanautamani uongozi wa hii nchi na wana backup, si rahisi libaki humu ndani
Hivi ni kweli huyo jamaa yupo Tanzania?
 
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani
Itafanyika tu. Wahuni hawakubaliki
 
Yaani watz sasa hv tuko under siege, unataka hutaki ni mwendo wa mi5 tena hahahhhaa

Yaani ccm kwasasa ni kama mwanaume anayebaka mwanamke kikubwa ni akojoe hakuna mambo ya I love you!
 
Kizazi cha waoga, kwani ni kosa yeyekufanya press? nyie ndio mnategemewa mlete mabadiliko ilihali ni waoga kuliko hata kunguni?
 
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani
He is smatter than that
 
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani

Kasema press ni online, lakini pia waandishi wataweza muuliza maswali Live

Press sio lazima iwe physical
 
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani
Kuna kosa yeye kufanya press? Kwani hizo kumbi ni kwa ajili ya pess za iana gan? ndio mawazo haya mnawapaga na ndugu zenu? Tunatengeneza cycle ya watu wajinga sana na waoga kupindukia, nazani hata watoto wako ndio usha uri huwa unawapatia.
 
Same here, kaleta dram za kutosha sijui anataka kukamatwa, ai lingekaa huku Nje, inaonekana hawa jamaa wanautamani uongozi wa hii nchi na wana backup, si rahisi libaki humu ndani
so kama anataka kukamatwa alipaswa akae kimya ili kuwafurahisha nyie wajinga keybord worrior? Eti Dram wewe unaweza nini kisicho cha drama?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom