Sioni press ya Humphrey Polepole leo ikifanyika

Sioni press ya Humphrey Polepole leo ikifanyika

Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani


Kwanza utambue bwana pole pole hayuko Tanzania

Labda useme internet yote leo izimwe
 
Labda arekodi clip atume kwa waandishi wa habari
Labda arekodi clip atume kwa waandishi wa habari

Watu mmekuwa wajinga Sana kufanya press na waandishi wa habari live na ukaulizwa maswali na kujibu inawezekana sio lazima iwe physically.

Dunia ya Leo hayo yamepitwa na wakati unaweza popote ukafanya press na waandishi wa habari live na maswali unaulizwa na unajibu .
 
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani
Hafanyi press conf anafanya press release Machawa mhangaike nayo.
 
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani

#########

Nahisi hata kama ni online mtandao unaweza kuzimika pia..
😅😅😅
Kwani alisharudi TZ?
 
Watu mmekuwa wajinga Sana kufanya press na waandishi wa habari live na ukaulizwa maswali na kujibu inawezekana sio lazima iwe physically.

Dunia ya Leo hayo yamepitwa na wakati unaweza popote ukafanya press na waandishi wa habari live na maswali unaulizwa na unajibu .
Tunazima internet
 
Sasa dadake Polepole anahusika vipi kwenye haya?Wanatumia mbinu za kimafia kutumia familia yake kumtisha?Huu SI ni ugaidi asee?!!!🤔
 
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani

#########

Nahisi hata kama ni online mtandao unaweza kuzimika pia..
😅😅😅
Saa 5 asb majira ya Africa mashariki
 
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani

#########

Nahisi hata kama ni online mtandao unaweza kuzimika pia..
😅😅😅
NAUZA NYUMBA INA APARTMENT MBILI DAR

Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi mwenye uhitaji unipigie 0625784681. Au wasap 0673294681. Ni nyumba ina apartments 2 na vyoo ndani.

Bei tsh. 23,000,000.00

Nitapunguza kidogo.
Nicheki wasap kama unahitaji picha na detailed information. Kataa mawinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom