Sioni press ya Humphrey Polepole leo ikifanyika

Sioni press ya Humphrey Polepole leo ikifanyika

Unaweza kukuta mtoa mada ni Polepole amekuja kutuchora tu
 
Sema kwaji boy alituchukuliaje sisi 🤣🤣
Alijifanya kama yupo na waandishi wa habar kumbe yupo mwenyewe tu 🤣
 
NAUZA NYUMBA INA APARTMENT MBILI DAR

Ninauza nyumba yangu hapa vikindu nyuma ya mtaa wa polisi mwenye uhitaji unipigie 0625784681. Au wasap 0673294681. Ni nyumba ina apartments 2 na vyoo ndani.

Bei tsh. 23,000,000.00

Nitapunguza kidogo.
Nicheki wasap kama unahitaji picha na detailed information. Kataa mawinga
Polepole anafika hiyo nyumba ni nzuri Kama safe house nadhani itamfaa akirudi DM nimnunulie
 
Mkuu huu utawala sio kbs, kuna mtu alikuwa jasiri kama Mdude??
Yuko wapi leo?!
Na hivi ndivyo wanachotaka watu waogope kuhoji au kusema jambo.
Nikiwa mkweli nasema Mdude sikuwai kumkubali sababu ya kutumia lugha ya matusi au kejeli katika ukosoaji wake.
He was crossing red lines sometimes.
 
Teknolojia ni kubwa sana, itafanyika akiamua..tena bila kusumbuliwa na watu hata mitandao😀
 
Kuna kila dalili hiyo press haitafanyika vinginevyo afanye kwa mbinu za Gwajima za kujifanya anaongea na waandishi kumbe ni yeye mwenyewe..

Hata Nape alivyotaka kuongea baada ya kufanyiwa uhuni kipindi kile ALINYOOSHEWA BASTOLA!

Hivi ni ukumbi gani utakubali KUHOST inshu ya pole pole leo?

Labda afanyie home kwake...

Trust me hiyo press labda ifanyike angani

#########

Nahisi hata kama ni online mtandao unaweza kuzimika pia..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom