SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,780
- 3,402
Zito alitakaga kugombea uwenyekiti wewe AMA Hilo unajifanya hulijui babamkwe akamchinjia bahariniha ha ha ha Zitto kwa mujibu wa katiba tuliyonayo hana sifa ya kugombea urais muda bado mkubwa, mwanamke hawezi kubeba mimba mpaka avunje ungo, mkuu haufai kwenye siasa haujui kupima mambo usingeleta hoja ya Zitto kugombea urais na ndio maana CDM hawajaangaika nae Zitto hana sifz kwa mujibu wa katiba.Ha! Ha! Ha! Ha!