William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Nonsense! Jenga hoja, wacha kushambulia mtu!
- Sawa sawa wafundishe ndugu zako kwanza namna ya kujenga hoja!!, au wataendelea kupata za uso tu!!
Le Mutuz!!
Nonsense! Jenga hoja, wacha kushambulia mtu!
Wasap meen vip tukapige picha na mabebi wa ukweli wakina Sinta na Wolper japo tumeshazeeka mzee mwenzangu- Sawa sawa wafundishe ndugu zako kwanza namna ya kujenga hoja!!, au wataendelea kupata za uso tu!!
Le Mutuz!!
oh oh hapo kwenye kugombea urais ndio usiseme kabisa, umesahau Julius alivyomchinjia mshua wako baharini, mkapa nae 2005 akamchinjia ziwani, umesahau wazanzibar walimtaka Bilal kuwa rais wao toka 2000 lakini ccm bara mkawachagulia rais mnayemtaka nyie. naomba nicheke kibaharia ha ha ha ha!- Mkuu toa boriti kwenye jicho lako kwanza, siku Zitto akiruhusiwa kwua mgombea urais wa Chadema ndio uje na haya, otheriwse hayakuhusu ya CCM tuachie wenyewe!! CCM ina wenyewe hukusikia Komba anaimba jana!!
Le Mutuz!!
Wasap meen vip tukapige picha na mabebi wa ukweli wakina Sinta na Wolper japo tumeshazeeka mzee mwenzangu
oh oh hapo kwenye kugombea urais ndio usiseme kabisa, umesahau Julius alivyomchinjia mshua wako baharini, mkapa nae 2005 akamchinjia ziwani, umesahau wazanzibar walimtaka Bilal kuwa rais wao toka 2000 lakini ccm bara mkawachagulia rais mnayemtaka nyie. naomba nicheke kibaharia ha ha ha ha!
- Sawa sawa kumbe mnaongozwa na njaa ndio maana mnalilia sana Ikulu! ha! ha! ha! lakini si umeona wananchi walivyo na akili sana Mikutano yenu wanajaaa kura wanatupa CCM, maana walishagundua siku nyingi mnaongozwa na njaaa!
Le Mutuz!!
- Sawa sawa kumbe mnaongozwa na njaa ndio maana mnalilia sana Ikulu! ha! ha! ha! lakini si umeona wananchi walivyo na akili sana Mikutano yenu wanajaaa kura wanatupa CCM, maana walishagundua siku nyingi mnaongozwa na njaaa!
Le Mutuz!!
William Malechela kwa kweli wewe haujakomaa kisiasa. Ni bahati tu kwamba umezaliwa na Malechela lkn ukweli wewe huna uwezo wa kujisimamia kisiasa! Hoja ya mjumbe ya kuwa CCM haioongozwi na katiba bali mawazo ya MWENYEKITI ina mashiko sana. Nilitegemea uchambuzi wako wa kina wa hoja hiyo ili utusaidie kutuonesha namna chama kinavyojiendesha kwa misingi ya kanuni na taratibu na si mawazo ya mtu mmoja. Tuna mifano mingi lakini michache ni hii;
Hoja kwamba mtoa hoja atoe boriti; ukimaanisha wamruhusu Zitto agombee kwanza Urais, naona kama haiuhusiani hata kidogo. Sana sana unamhakikishia mtoa mada kuwa alichosema ni sahihi kwa kuwa hata CHADEMA mwenyekiti hatoi nafasi kwa watu wengine!
- Kuondoa viongozi wastaafu kuwa wajumbe wa kamati kuu
- Dhana ya kujivua gamba
- Nyimbo dhahania za Kasi mpya nguvu mpya na ari mpya
- Mwelekeo wa kuwa victimize baadhi ya wanchama kwa sababu wanamchallenge mf EL
- Kulazimisha nafasi ya mwanamke ili kuwaondoa watu wenye mtazamo tofauti na yeye
- nk
ha ha ha ha Zitto kwa mujibu wa katiba tuliyonayo hana sifa ya kugombea urais muda bado mkubwa, mwanamke hawezi kubeba mimba mpaka avunje ungo, mkuu haufai kwenye siasa haujui kupima mambo usingeleta hoja ya Zitto kugombea urais na ndio maana CDM hawajaangaika nae Zitto hana sifz kwa mujibu wa katiba.Ha! Ha! Ha! Ha!- Kama mlivyochinjia Zitto baharini si ndio maana yake eti? au
Le Mutuz!!
Ha! ha! ha! ha! kwani CDM ilishateua mgombea Urais naona umejisahau kwamba umeshazeeka na bado unakula kwa baba yako na mama yako wa kambo jitoe home mkuu- Kama mlivyochinjia Zitto baharini si ndio maana yake eti? au
Le Mutuz!!
Malecela jina Kubwa sana haiswihi jina hili kubwa kuandika upuuzi kila mara, Litendee haki jina hilo kubwa la mheshimiwa sana.
CDM imeshindwa kwenye uchaguzi upi hata uje na maneno yasiyohusiana na mada, wangekuwa wanashindwa kwenye uchaguzi wizi wa kura na mauaji ni ya nini? tunaojaa kwenye mikutano ndiyo wapiga kura na tunawachagua kweli viongozi wetu wa CDM lakini, mhhh, kuna kitu kinaitwa kurig, hicho balaa, kimewajaa magamba mpaka wananuka. kwani kule ikulu na bungeni kuna nini? hata wenyewe kwa wenyewe magamba mnaparurana ile mbaya ama ndiyo ajira pekee iliyobakia ambao wazee wameamua kuwarithisha?
Ha! ha! ha! ha! kwani CDM ilishateua mgombea Urais naona umejisahau kwamba umeshazeeka na bado unakula kwa baba yako na mama yako wa kambo jitoe home mkuu
ha ha ha ha Zitto kwa mujibu wa katiba tuliyonayo hana sifa ya kugombea urais muda bado mkubwa, mwanamke hawezi kubeba mimba mpaka avunje ungo, mkuu haufai kwenye siasa haujui kupima mambo usingeleta hoja ya Zitto kugombea urais na ndio maana CDM hawajaangaika nae Zitto hana sifz kwa mujibu wa katiba.Ha! Ha! Ha! Ha!
Hakuna lolote CCM wanaongozwa kwa fikra za mwenyekiti, si umeona katiba ilivyofinyangwa, inaonekana hata mwenyekiti hajiamini akabadili katiba ili apigiwe za ndiyo ama hapana kwa vile amegundua kuna watu wanautaka hata huo wenyekiti wake kwa nguvu zote na yeye ni weak asingewaweza akina Le Mutuz, wanautaka huo u chamen kwa bidii kweli.
akashtukia deal akasema sasa hivi fikra za mwenyekiti lazima zidumu hakuna demokrasia hapa demokrasia wazipeleke kwa wake zao ila hapa mwenyekiti ni mimi na lazima mnipigie kura za ndiyo ama hapana. na nikipata 99.99% watu wa waandae maandamano ili wanipongeze kwa ushindi mkubwa "YAP" hao ndiyo magamba bwana wanaoongoza chama kwenye karne ya 21 kwa stail ya 1897.
- Mkuu toa boriti kwenye jicho lako kwanza, siku Zitto akiruhusiwa kwua mgombea urais wa Chadema ndio uje na haya, otheriwse hayakuhusu ya CCM tuachie wenyewe!! CCM ina wenyewe hukusikia Komba anaimba jana!!
Le Mutuz!!
- Sawa sawa kama vile mnavyoongozwa na Mtei, Zitto alipochukua fomu ya Mwenyekiti unakumbuka mlivyofinyanga katiba yenu, au mnajua kuona kwa wengine tu? angalieni kwenu kwanza bro!!
Le Mutuz!!
- Kama mlivyochinjia Zitto baharini si ndio maana yake eti? au
Le Mutuz!!