Kama CCM ingekuwa na Mwenyekiti wa Taifa tofauti na Rais wa nchi hali isingekuwa kama ilivyo sasa ya msuguano ndani ya chama. Ndugai kama Mkuu wa muhimili wa Bunge angekuwa na uhuru wa kumkosoa Rais na Rais angeweza kujibu hoja bila jazba. Aidha Rais angeweza kukosoa udhaifu wa Bunge na Spika angeweza kujibu hoja bila jazba.
Kwa kuwa Ndugai kama Mkuu wa muhimili wa Bunge amemkosoa Rais Samia ambaye ndiye Mwenyekiti wa wake wa Taifa wa CCM, inaonekana kama amemdharau Rais. Naye Rais Samia akahamaki kuwa amedharauliwa na kudhalilishwa.
CCM ili kiwe chama imara cha kidemokrasia na kinachoruhusu uhuru wa maoni na uhuru binafsi wa wanachama wao lazima kipitie upya katiba yake na kuirekebisha.
Kwa kuwa Ndugai kama Mkuu wa muhimili wa Bunge amemkosoa Rais Samia ambaye ndiye Mwenyekiti wa wake wa Taifa wa CCM, inaonekana kama amemdharau Rais. Naye Rais Samia akahamaki kuwa amedharauliwa na kudhalilishwa.
CCM ili kiwe chama imara cha kidemokrasia na kinachoruhusu uhuru wa maoni na uhuru binafsi wa wanachama wao lazima kipitie upya katiba yake na kuirekebisha.