Sioni haja ya CCM kufanya kampeni

Sioni haja ya CCM kufanya kampeni

ni heri kuwepo na mfumo wa chama kimoja kuliko hv sasa
 
Labda huelewi maana ya kampeni, ht hivyo CCM iko na wananchi muda wote, ni juzi alipita Katibu mkuu kusini mwa nchi, sahivi yuko katibu wa uenezi, itikadi na mafunzo. CCM ipo kiganjani mwa wananchi. Kampeni ni wakati wa kuelezea ilani mpya ya 2025-2030, kwa hiyo ni lazima. CCM ni profesa wa siasa bwanamdogo tulieni mjifunze kwanza
Mliokalilishwa ujinga,utakuwa unatokea mkoa mmoja maskini kabisa wenda Rukwa
 
Kwenye uchaguzi vyama vya upinzani viko 17 vitakashiriki uchaguzi baada ya Chadema kujitoa

Hivyo CCM itapambana na vyama 17 vya upinzani kwenye sanduku la kura
hivyo navyo ni vyama vya upinzani au ni michosho tu? Hakuna upinzani hapo
 
Ni Bora hizo fedha zijenge barabara za mitaa kuliko kuziharibu unatumia bill 300 kwenye ujinga na upumbavu.watz tusiwe kama kuku bandani tupambane.
 
Back
Top Bottom