Sioni haja ya CCM kufanya kampeni

Sioni haja ya CCM kufanya kampeni

Ikiwa wanao wagombea na Tume kwann wanahangaika kufanya tena kampeni?
Ni nchi chache hapa Africa ambazo hazijui Matokeo ya uchaguzi kabla uchaguzi hujakaribia kufanywa...Tz tunajua matokeo ya Uchaguzi unaofwata Haina Hata Raha Kabisa kusema Kunao Uchaguzi Mkuu maana hamna ushindani wowote hakuna Ushindani wababe wakizidi kuonea huwa inaanza kuboa na watu wanavyoendelea kuboeka kijani na njano ndo zitaunga foleni kwenda kujichagua
 
Deus Kibamba phd. Kanukuliwa akisema uchaguzi chini ya mfumo wa uchaguzi uliopo umepoteza mantiki.

Ccm wangeandaa sherehe ya kumuapisha raisi mteuliwa basi maisha.yakasonga mbele
 
Tuna rais wa hovyo haijawahi kutokea. Kwenye chama chake amepita bila kupingwa anataka na kwenye urais apite kwa mserereko huku mpinzani wake amemfungia stoo. Hata huku mtaani wake zetu wanatutesa wanaume. Mwanamk

e hapaswi kupewa madaraka makubwa kama urais
 
CCM huwa haishiriki kampeni & uchaguzi , polisi ndio wanashiriki kampeni & uchaguzi kwa niaba siku ya kupiga kura za danganya toto ndio unaona mgombeawa CCM kwenye karatasi.

Ukitenganisha CCM na polisi unapata polisi na TLP ya kijani.
 
Back
Top Bottom