Sioni haja ya CCM kufanya kampeni

Sioni haja ya CCM kufanya kampeni

CCM wataamua wenyewe siku ya UCHAFUZI MKUU, kusimamia uchaguzi wao ama kuzuia maandamano ya amani.

Ngoja waandae uchaguzi, sisi tuendelee na hamasa yetu ya "NO REFORM, NO ELECTION". Siku ya uchaguzi sisi tuendelee na maandamano ya Amani.
Itqsaidia nini au yatabadili nini hayo maandamano
 
Ikiwa wanao wagombea na Tume kwann wanahangaika kufanya tena kampeni?
Labda huelewi maana ya kampeni, ht hivyo CCM iko na wananchi muda wote, ni juzi alipita Katibu mkuu kusini mwa nchi, sahivi yuko katibu wa uenezi, itikadi na mafunzo. CCM ipo kiganjani mwa wananchi. Kampeni ni wakati wa kuelezea ilani mpya ya 2025-2030, kwa hiyo ni lazima. CCM ni profesa wa siasa bwanamdogo tulieni mjifunze kwanza
 
Sio kampeni tu hata uchaguzi hauna maana nikupoteza tuu pesa zetu
Kwasababu wamesusa hao nyumba wapumbavu? Viko vyama 18 vinashiriki uchaguzi. Acheni arrogance na ubinafsi, hao chadomo ni chama kimoja tu wasijione wana upekee wowote. Kaeni kwa kutulia wacheni wazalendo wa nchi hii wafanye mambo yao, nyie vibaraka mnaweza kwenda kupumzika kwa mabwana zenu
 
CCM wataamua wenyewe siku ya UCHAFUZI MKUU, kusimamia uchaguzi wao ama kuzuia maandamano ya amani.

Ngoja waandae uchaguzi, sisi tuendelee na hamasa yetu ya "NO REFORM, NO ELECTION". Siku ya uchaguzi sisi tuendelee na maandamano ya Amani.
Hiyo hamasa utakuwa unafanya nyumbani kwako na mke/mme wako. Ukitaka kuiona dola subiri kuanzia sasa. Nyambaf hamuwezi kuisumbua nchi, mmeshindwa kumtumia vizuri Rais mstaarabu km Samia nani ataweza kuwavumilia wapumbavu km nyie?
 
Ikiwa wanao wagombea na Tume kwann wanahangaika kufanya tena kampeni?
Chadema shida yenu hamjui siasa
Kampeni kazi yake kuu ni kutabgaza Ilani ya chama husika kwa wanachama waijue kuwa chama kinachotaka kushika dola kimejipanga kitawafanyia nini watanzania
Kila uchaguzi huwa na ilani.Na wananchi huelimishwa hiyo ilani kipindi cha kampeni

Na la pili baada ya kuwaeleza ilani ndipo huomba kuungwa mkono kwa hiyo ilani kwa kupitia kupigiwa kura ya ndio wagombea watakaosimamia utekelezaji wa hiyo Ilani

Kampeni kazi yake sio kuomba kura tu Chadema wajinga nyie

Mumeingia kwenye bila kukomaa kwanza
Nendeni mkakae miaka mitano mkatafakari labda mkija kurudi inshallah pengine mtakuwa mumeelewa kampeni ya uchaguzi ni kitu gani
 
Back
Top Bottom