Siongozi Genge la wasaka URAIS - Mbowe

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA Freemaan Mbowe amesema kamwe haongozi kundi au genge la wasaka vyeo na madaraka ndani ya chama chake bali anaongoza kundi la watu wanaopenda mabadiliko.

Kiongozi huyo amesema binafsi hawezi kwa sasa kusema atagombea Urais au Ubunge kwa sababu huu si muda wake hata kidogo.

Mbowe amesema mwanachama yeyote makini wa CDM kwa sasa ni muda wa kuwaunganisha wanachama na watanzania kwa ujumla na wala si muda wa kuwagawa kukimbilia madaraka.Kiongozi huyo amesema ndiyo maana makamanda wote wakiongozwa na Dr Slaa wamejichimbia vijijini kwa kazi moja tu ya kueneza vuguvugu la mabadiliko-M4C


Source: Tanzania Daima

aminia kamanda,ni kweli muda huu ni wa kupiga kisomo mpaka kieleweke, chama makini huwafikia wanachama wake na kupata mawasiliano nao kwa kuwaelemisha, kuwasikiliza na kuwaada ili wapokee mabadiliko.CDM ki mstakabali nivyema ikafanya jitihada mbadala za ccm kuwafikia watanzania walio wengi na kuwaada ili wawe mtaji wa kisiasa wakati wa uchaguzi kupata majimbo mengi na hivyo kuleta madailiko bungeni na kuwekez
a kwenye sera nzuri za kuwakomboa watanzania.hoja ya mavyeo madaraka ni ufinyu wa fikra, tunataka mabadiliko na si magenge ya uraisi ambayo ni fikra dhaifu
 
Zitto kwa kuwa amejipanga kugombea urais 2015, usitegemee kumuona kwenye harambee za kuchangisha milion 257 ambapo zote ni ahadi isipokuwa milioni 20. Au kuzunguka kwenye mikutano isiyo na tija. Rais ZZK.
Labda agombee kwa ticket ya Magamba
 
Reading between the lines, naona hapa anayepashwa hii mipasho ni Zito Kabwe....Chadema wanaanza kutumia mafuta yao kujikaanga. My take, it was unwise for Mbowe to make such statement for it cements the perception kwamba kuna mgogoro mkubwa Chadema.

Ulitaka asemeje? Alichokisema kina maana sana katika kujenga nchi ila wenye nia mbaya kama wewe hawawezi kuelewa. Unahisi mgogoro hebu tueleze basi. CDM wanafanya shughuli zao kwa kujipanga na si kukurupuka Big up CDM
 
Mbowe asianze mipasho bali awawajibishe wale wanaosaka ulaji chamani haraka sana iwezekanavyo. Kwa mfano wengi wanamlenga Zitto. Who is Zitto without CHADEMA? Ni bahati mbaya kuwa hata Zitto naye hafikirii sawa sawa. Angeamua moja-kuendelea kuwa CDM au kwenda huko anakotumika kwa akina Zoka wa TISS. Zitto, if anything, is now a liability for CDM. Wakati wa kumpiga kibuti Zitto umewadia maana kama jina lake yeye ni mzigo mzito na hasara kwa CDM.
 
Badala ya kukaa kwenye vikao vyao na kushauriana nini cha kusema wanakuja kwenye vyombo vya habari na kuleta mipasho. Hii ni wazi kabisa zitto anajibiwa hapa.
 
Zitto kwa kuwa amejipanga kugombea urais 2015, usitegemee kumuona kwenye harambee za kuchangisha milion 257 ambapo zote ni ahadi isipokuwa milioni 20. Au kuzunguka kwenye mikutano isiyo na tija. Rais ZZK.

Ni ajabu kwamba ccm wanamuona Zitto kuwa hero na wanafikiri anafaa kuwa rais, ukiona hivyo ujue huko ccm kwenyewe kuna viazi vibichi tupu!!

Parhetic maza fanta!!
 
inamaana mbowe ni mkubwa kuliko chama? Kumbe survival ya chama ni mtu mmoja? Akifa je?

Unajua CHADEMA ilipotoka ikiwa haina mbunge wala mapato??

Angekuwa Dovutwa au Kikwete angeweza kujenga taasisi from nothing??

Stop back hoging!
 
Ulitaka asemeje? Alichokisema kina maana sana katika kujenga nchi ila wenye nia mbaya kama wewe hawawezi kuelewa. Unahisi mgogoro hebu tueleze basi. CDM wanafanya shughuli zao kwa kujipanga na si kukurupuka Big up CDM

Absolutely Yes....
 
Ni ajabu kwamba ccm wanamuona Zitto kuwa hero na wanafikiri anafaa kuwa rais, ukiona hivyo ujue huko ccm kwenyewe kuna viazi vibichi tupu!!

Parhetic maza fanta!!

Mkuu umenichekesha sana.....
 
Badala ya kukaa kwenye vikao vyao na kushauriana nini cha kusema wanakuja kwenye vyombo vya habari na kuleta mipasho. Hii ni wazi kabisa zitto anajibiwa hapa.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/298724-kura-ya-maoni-zitto-vs-dr-slaa-23.html#post4413384
 
inamaana mbowe ni mkubwa kuliko chama? Kumbe survival ya chama ni mtu mmoja? Akifa je?

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/298724-kura-ya-maoni-zitto-vs-dr-slaa-23.html#post4413384
 
Mbowe asianze mipasho bali awawajibishe wale wanaosaka ulaji chamani haraka sana iwezekanavyo. Kwa mfano wengi wanamlenga Zitto. Who is Zitto without CHADEMA? Ni bahati mbaya kuwa hata Zitto naye hafikirii sawa sawa. Angeamua moja-kuendelea kuwa CDM au kwenda huko anakotumika kwa akina Zoka wa TISS. Zitto, if anything, is now a liability for CDM. Wakati wa kumpiga kibuti Zitto umewadia maana kama jina lake yeye ni mzigo mzito na hasara kwa CDM.

Mkuu umenikuna sana.......
 
inamaana mbowe ni mkubwa kuliko chama? Kumbe survival ya chama ni mtu mmoja? Akifa je?
hivi we majebere ni msemaji wa zitto unataka kuolewa wew kwel mbona umekuwa unadandia tu hoja siolazima ujibu hoja lala ukuwe wamekutumaweeeeeeeeeeeeeeeeeeeheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mbowe anaongoza genge la wachaga kama Lema,Nassar,Henry kilewo,Deo mushi,mukya,munishi etc ndo maana watu kutoka pande zingine za tz hawakutokea!Zitto hawezi fanya movement for chaga hata siku moja.
Aah! umeshakula ban?
 
Back
Top Bottom