Siongozi Genge la wasaka URAIS - Mbowe

Siongozi Genge la wasaka URAIS - Mbowe

wanajf,
katika kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2005 ccm walimtumia mwandishi wa habari wa chadema aliyekuwa anaambatana na mgombea wa urais kwa tiketi ya chadema,mbowe,ili kutoa taarifa za siri kuhusu mikakati ya chadema.taarifa hizi nilizipata kutoka kwa mtu muhimu sana katika kikosi cha kampeni za kikwete.
Simfahamu huyo mwandishi wa habari,lakini chadema waangalie ni nani alikuwa anaambatana na mbowe.kama bado wako naye,nawaomba wakae naye macho.
Alishaondoka siku nyingi. Hivi sasa yuko kambi ya Lowassa. Jina lake ni Ba.....
 
Naona molemo anamtetea boss wake kwa nguvu zote,kwakweli Mbowe anatakiwa ampe ofa ya nguvu bilicanas. Amefanya kazi ya ziada leo.
 
Naona molemo anamtetea boss wake kwa nguvu zote,kwakweli Mbowe anatakiwa ampe ofa ya nguvu bilicanas. Amefanya kazi ya ziada leo.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/298724-kura-ya-maoni-zitto-vs-dr-slaa-23.html#post4413384
 
Zitto kwa kuwa amejipanga kugombea urais 2015, usitegemee kumuona kwenye harambee za kuchangisha milion 257 ambapo zote ni ahadi isipokuwa milioni 20. Au kuzunguka kwenye mikutano isiyo na tija. Rais ZZK.

Uko kama nyumbu
 
Mbowe anaongoza genge la wachaga kama Lema,Nassar,Henry kilewo,Deo mushi,mukya,munishi etc ndo maana watu kutoka pande zingine za tz hawakutokea!Zitto hawezi fanya movement for chaga hata siku moja.

Tumtemeke, Kikulacho ki-maungoni mwako.
Sungura alipozikosa mbivu hakuishia kukata tamaa tu, bali kuendeleza propaganda za kwamba ndizi zile ni mbichi.
 
Hivi kwa akili yako ndogo unaamini kuwa propaganda zenu (CCM) zinzweza kuwasaidia kupata kibaraka ndani ya CDM? Ni ndoto za mchana.
Ata vile mgejua mnamhitaji Zuberi (mimi sipendi kumuita Zitto) awe mbadala wa CCM 2015 basi msinge mtega rushwa ya mgao wa billion 2 kila mwezi
toka kampuni za Mafuta.....

Ninavyoamini ata Ubunge atakosa kwa kuwa kibaraka.


Kile kinachomwandama kijana Zitto ni laana ya kutumika kuwili (the curse of double agency)

na miendendo yake yenye alama za kuuliza kwa kiarabu tunasema,
لعنة وكالة المزدوجة وحركات مشكوك فيه
 
alichosema mbowe ni kweli huu muda si wakuhangaika na wachumia tumbo bali ni kuhangaika na uelimishaji wa wananchi ili 2015 cdm ichukue nchi
 
Tumtemeke, Kikulacho ki-maungoni mwako.
Sungura alipozikosa mbivu hakuishia kukata tamaa tu, bali kuendeleza propaganda za kwamba ndizi zile ni mbichi.

Mkuu wangu umemueleza ukweli huyo kibaraka mnafiki mwenye ID 19 maalum kutukana CDM
 
alichosema mbowe ni kweli huu muda si wakuhangaika na wachumia tumbo bali ni kuhangaika na uelimishaji wa wananchi ili 2015 cdm ichukue nchi

Ni kweli mkuu wachumia tumbo siku zote wanawaza URAIS.Mbowe anasema hajui hata kama ubunge atagombea,this is the matured leader we want!
 
Zitto kwa kuwa amejipanga kugombea urais 2015, usitegemee kumuona kwenye harambee za kuchangisha milion 257 ambapo zote ni ahadi isipokuwa milioni 20. Au kuzunguka kwenye mikutano isiyo na tija. Rais ZZK.

Post yako imefikia 666. Ni lazima utoe moshi leo! Kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Reading between the lines, naona hapa anayepashwa hii mipasho ni Zito Kabwe....Chadema wanaanza kutumia mafuta yao kujikaanga. My take, it was unwise for Mbowe to make such statement for it cements the perception kwamba kuna mgogoro mkubwa Chadema.

Wagonjwa wa ukimwi toka lini wakawa na upeo wa kufikiri kwa upana? Unatoa maoni alafu usema eti ndicho kilicho kati ya mistari? Badili jina ili angalau uweze kuwa na mawazo chanya.
 
Hili bomu litakuwa limejerui watu wengi sana, tunaomba vyombo vya usalama vifanye kazi ya uokoaji kwa haraka, ni vyema tukapewa feedback mapema ni wangapi wamepoteza maisha. Mbowe yuko sayari nyingine aisee.
 
Bora uonekane mbaya mwanzo kuliko kusubiri mpaka tayari umechelewa - Iwe hii mipasho analengwa ZZK, iwe kuna mgogoro mkubwa ndani ya Chadema, ni bora kuwekana sawa hivi sasa. Kama viongozi wakuu wa CDM hawatalizuwia hili, hata hawa wanaohama vyama vyengine na kujiunga na CDM wataanza kuutaka uraisi hivi sasa.
HONGERA MBOWE KWA BUSARA

Wakati nakubaliana nawe kwa 70% sidhani ni busara kutatua mgogoro wa mbio za urais kupitia magazeti. Sitaki kuamini kwamba busara za Mbowe ni kutumia gazeti kuwapelekea vijembe viongozi wenzake na kama amefikia hatua hiyo nashawishika kuamini kwamba njia za kawaida na zabusara zimegonga mwamba na kwamba the crisis is full blown!!
 
Reading between the lines, naona hapa anayepashwa hii mipasho ni Zito Kabwe....Chadema wanaanza kutumia mafuta yao kujikaanga. My take, it was unwise for Mbowe to make such statement for it cements the perception kwamba kuna mgogoro mkubwa Chadema.

Ni kweli mgogoro ulikuwapo, cha msingi ni kwamba kwa mara ya kwanza tumesikia kauli ya mwenyekiti, hili swala limekwisha rasmi, sasa tutawajua wanaounganisha wananchi kwa ajiri ya ukombozi wa kweli na machumia tumbo.

Sidhani kama wahanga wa hili jibu watainuka tena.
 
Wakati nakubaliana nawe kwa 70% sidhani ni busara kutatua mgogoro wa mbio za urais kupitia magazeti. Sitaki kuamini kwamba busara za Mbowe ni kutumia gazeti kuwapelekea vijembe viongozi wenzake na kama amefikia hatua hiyo nashawishika kuamini kwamba njia za kawaida na zabusara zimegonga mwamba na kwamba the crisis is full blown!!

Umepona ugonjwa unaoumwa?
 
Ni kweli mgogoro ulikuwapo, cha msingi ni kwamba kwa mara ya kwanza tumesikia kauli ya mwenyekiti, hili swala limekwisha rasmi, sasa tutawajua wanaounganisha wananchi kwa ajiri ya ukombozi wa kweli na machumia tumbo.

Sidhani kama wahanga wa hili jibu watainuka tena.

Short and Clear...
 
Hili bomu litakuwa limejerui watu wengi sana, tunaomba vyombo vya usalama vifanye kazi ya uokoaji kwa haraka, ni vyema tukapewa feedback mapema ni wangapi wamepoteza maisha. Mbowe yuko sayari nyingine aisee.

Mbowe namfananisha na wanasiasa aina ya Raila Odinga wa Kenya.
 
Back
Top Bottom