Sio wajibu wa jeshi kushughulika na vitendo vya kihalifu mtaani, hiyo ni kazi ya polisi.

Sio wajibu wa jeshi kushughulika na vitendo vya kihalifu mtaani, hiyo ni kazi ya polisi.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,240
Reaction score
90,296
Wenye wajibu wa kukemea na kupambana na vitendo vya kihalifu ni polisi na sio jeshi la wananchi.

Kazi ya jeshi ni kulinda mipaka ya nchi, katiba na uhuru wa nchi.

Vitendo vya kihalifu mitaani havihusiani na usalama wa mipaka ya nchi, katiba na uhuru. Wanaofanya uchaguzi haramu unaopelekea hadi machafuko na hata kutishia usalama wa nchi ndio wanakiuka katiba ya nchi na ndio ambao jeshi linawajibu wa kushughulika nao.
 
Mkunda amepewa posho tayari or else wanaingia kuchukua nchi.....hivyo tu yaani
 
Wenye wajibu wa kukemea na kupambana na vitendo vya kihalifu ni polisi na sio jeshi la wananchi.

Kazi ya jeshi ni kulinda mipaka ya nchi, katiba na uhuru wa nchi.

Vitendo vya kihalifu mitaani havihusiani na usalama wa mipaka ya nchi, katiba na uhuru. Wanaofanya uchaguzi haramu unaopelekea hadi machafuko na hata kutishia usalama wa nchi ndio wanakiuka katiba ya nchi na ndio ambao jeshi linawajibu wa kushughulika nao.

Badala yake wao wanataka kushughulikia wananchi!
Naamini mkunda hakuwa serious na tamko lake.
 
Back
Top Bottom