Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
Safi tu vipi wewe
Kwa kweli. Mambo?
Kwa kweli. Mambo?
Habari za wapi?Kansa hatari kwa taifa!
who is making the last breath?
Duga kwa mchuzi wa nyoka!habari za wapi?
Kumuombea mtu mpaka ushikiwe bunduki!Akiumwa Liss tusimuombee akiumwa Lusinde tuna roho mbaya.
Karma is a bich.
Duga ndiyo wapi kiparaDuga kwa mchuzi wa nyoka!
Tena Upumbavu hasa ,na Sifa ya Mpumbavu hata umtwange kwenye Kinu hawezi kuisha Upumbavu wake.Umesomeka Mkuu.
Ni Zamu yetu kufurahi.Kumuombea mtu mpaka ushikiwe bunduki!
HakikaMENE - Mungu ameuhesabu Ufalme wako na kuokomesha.
TEKELI - Umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.
PERESI - Ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.
Sawa Mr. NjaaaaaaaaAliyemfananisha rais Magufuli na Yesu, bandiko hili lina mhusu.
P
Hao vijana watatu waliitwa Shadrack, Meshaki na AbidnegoKuna wakati unapaswa kutii Mungu na sio mamlaka za kidunia. Ushahidi upo Kitabu chs Daniel ambao vijana watatu walikataa "amri halali" ya mfalme wa kusujudia sanamu. Walikubali kufa kuliko kutii amri ya mfalme ingawaje Mungu aliwaokoa na ghadhabu ya mfalme.
Hivyo, kwa sisi Wakristo tunaaswa kutii amri ile tu ambayo haiendi kinyume na maagizo ya Mungu.