Sio Mungu tu tuliyemkataa

Wao pesa mbele kama mfuko wa shati!ukitaka uheshimiwa na uthaminiwe we kata kobunda ukiingia unapokelewa unaonyeshwa siti za mbele
Hata bible yenyewe imekataza ila nature ya binadamu baadhi.kuheshimu wenye pesa zaidi.
Na sio madehehebu Wala ya upako wote wako hivyo.
Mi nkasema acha Mungu anihukumu maana ye ndio Anajua situation halisi.
Ukikaa mara Kuna tour bagamoyo
Mara kuna trip mikumi
Michango 80,000...70,000
100,000

Hakuna hata trip ya kwenda kutoa msaada Kwa yatima au hospital
 
Bora ujikalie pembeni aisee Mungu anasikia hata ukiomba sirini!
 
Usipoaamini wewe inatosha Mzee
Mie sijakulazikiaha Yamini kwamba yupo.
Umeniomba mwenyewe nithibishe halafu unaniita mwehu
Uko sawa?
Huo uthibitisho umeuweka wapi nikaacha kuusoma? Wehu ni yule badala ya kujibu hoja anarukia personality, thibitisha uwepo wa Mungu, acha porojo.
 
Lengo la kuandika makala kwenye majukwaa ya umma ya wazi mfano JF ni kufikisha ujumbe fulani kwa hadhira (wasomaji) yako.
Hivyo lazima uwe na ujuzi wa kutosha wa uandishi. Ujumbe uwafikie wengi waelewe kusudio lako.
Huu ujumbe mahususi kwa matumizi ya watu wengi(public consumption).
Angetaka waelewe watu wachache angewalenga hao moja kwa moja kwa ujumbe binafsi yaani private message (PM).
Angeandika kwa ajili ya manufaa yake binafsi tu angehifadhi kwenye simu, computer au angebandika ukutani chumbani kwake, au angeandika kwenye shajara (diary) yake.
 
ila lengo kuu ni Mungu, kujuliana hali ni ziada tu !
Mungu ni geresha tu la kufanya kanisani paheshimiwe. Ni mhusika wa kufikirika.

Lakini yanayofanyika kule kanisani mfano kuchangisha misaada, kulea watoto, kutoa ushauri, ndo ya muhimu...

Kwahiyo mimi naweza nisimuamini Mungu, lakini nitakua mpuuzi kama nisipoona mazuri yanayofundishwa kwenye dini.

Binadamu alimtengeneza Mungu ili kutanabaisha hitaji lake la kujumuika.
 
Mimi na wewe tuna mtazamo sawa.
Namuamini Mungu ila kanisani siendi ng'oo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…