Hapana aisee, hiyo nakataa...labda umekutana na MuhuniI guess I'm back lol
Me mbona sijafikia level za kula mansion. Babes wenyewe si unawajua, ile unafungua tu fanta unywe utasikia "vyumba vipo" hahhaha
Ni kweli kabisa halafu Mungu wa mbinguni ni wa ajabu, huwa anawapunish wenye viburi vya Pesa na Dharau kwenye Ndoa.Mkikutana wote mnaofaa raha sana, mnafaana.
Wewe ndo huwezi kufanya hivyo, kuna njemba kauzu khaaHapana aisee, hiyo nakataa...labda umekutana na Muhuni
Hahahaaaaa nimekula kibanda mkuu.Nini tena....... umekula ghorofa?
Hii resolution nimeipenda, wasake za mantions na za pizzaHa ha haaa! Nadhan na wahenga wange amend hii statement " In every successful man there is a bright woman..." iwe hivi in every successful man there is a woman to eat the money so brothers msilie na piza! Pambana tafuta kwanza nyingi uwenazo hata ukichunwa uone sawa....
Kama za piza hazijatimia they should withdraw themselves and go hustle, change the status!Hii resolution nimeipenda, wasake za mantions na za pizza
Hiyo lbd umfanyie mwanamke ambaye nayeye ni walewale wahuni au cheapest au muwe mmezoeana sana na aridhie mwenyewe ila sio kwa siku ya kwanza tu umeet na mwanamke iwe hivyo.Wewe ndo huwezi kufanya hivyo, kuna njemba kauzu khaa
NifahHahahaaaaa nimekula kibanda mkuu.
Yes my dearNifah
Hv been missing u sanaYes my dear
Kuna ka uongo kwa mbaaaaaaliKuingia katika siasa kwa Barack, ni pale alipoamua kugombea uState Senate wa Illinois, na aliamua kushindana na aliyekuwa akishikilia hicho kiti, mweusi na alikuwa maarufu. Waligombana na michelle juu ya uamuzi huo ila alilazimisha, akagaragazwa vibaya sana, na aliishiwa kifedha pia.
Wacha we!! Kwahiyo mshajiwekea kabisa kuwa bila wanawake hamfanikiwi.Niliwahi kuwaambia watu
Kwenye mafanikio huwezi mkimbia mwanamke, chanzo kikubwa cha mafanikio ni malezi bora ya mama wa mwanaume ukubwani.
Nilibishiwa mpaka basii
Umasikini wa mwanaume katika familia chanzo kikuu ni mwanamke,
Kwa hiyo anayeweza kuchagua aina ya maisha ya familia ni mwanamke.
Kimbembe sasa siku hizi
Mwanamke amehama katika majukumu ya familia amekwenda kwenye majukumu ya kutoridhishwa na uumbaji wa Mungu juu yake, wengine wamekwenda mbaaaali sana kufikia hatua ya kutafuta vya familia alikotoka na pia kutafuta vyake na si vya familia mpya anayopaswa kuijenga
MISS YOU TOO MAAAmiss you soo much shost wangu
MISS YOU TOO MAAAmiss you soo much shost wangu