Sio kila mwanamke wa Kula

Sio kila mwanamke wa Kula

" roho hii radhi lakini mwili ni zaifu " tutakumbushana sana hivi vitu lakini siku hizi wanaume tunapitia changamoto kubwa unashangaa umetumiwa nudes na mke wa mtu alafu unajaribu kukausha kwa hekima anakuuliza mbele za watu akikuona " ule mzigo nilio kuonyesha unaupa asilimia ngapi? " Just imagine .........kiukweli ukikosa kujisimamia kidogo tu!! Unajifedhehesha milele
Be a man of principles
 
Habari,

Sio kila pisi kali inayopita mbele yako ni ya kula. Wanawake wa sasa wako Very cheap lazima ujivalue.

Kuna muda condom ni muhimu sana.
Gono, Kaswende, Genital Warts.

Utakula kwa Elfu 5 utajitibu kwa elfu 50
Mara umepigwa na kibajaji chap,haupo tena...umeondoka na ugwadu wako.(kidding) usemacho ni sahihi mkuu😁
 
Nimeipenda hiii!!
Asante kwa kutukumbusha mkuu!!

📌📌📌📌📌📌📌📌
 
Back
Top Bottom