Sintofahamu ndani ya CHADEMA juu ya michango ya Sabodo

Sintofahamu ndani ya CHADEMA juu ya michango ya Sabodo

Kua na akili za kisisiem kweli shida utakuta mtoa mada eti nae kuna watu wanamtegemea kwa kupost ujinga kama huu.
 
Mleta madaa ivi unajua mafisadi ambao wametufikisha hapa tulipo wako ccm
ccm imeishiwa hata ufikiri hadi inaanzisha vitu vya ovyo ovyo
tozo ya simu card huu ni ufilisi wa akili
kweli Tz imejaliwa neema kila kona ya nchi leo hii mlala hoi anaambiwa atoe 1000 per month for what
wameshindwa kwenda kwenye migodi, gas, uranium, utalii n.k wanakuja kuwakamua walala hoi
basi haitoshi waende kwenye ufisadi hela za Swiss, EPA, Richmond n.k
wananchi aamkeni tuungane tuwapinge hawa mufilisi wa akili
 
chadema si chama cha siasa bali ni genge la wahuni linalotaka kujinufaisha kwa mgongo wa wananchi

Gengr la wezi,wauaji,mafisafi na hata leo mwenzeni sita kasema
Ccm mmefilisi nchi mnadhubutu kupost uharo wako.uliza ccm wanafanyia nn fadha zao hata wanawaibia wananchi.
No sawa na familia ya panya
 
Samahani nilitaka kujua kama hii picha ni halisi au umeifanyia editing, eti huyu kwao ndo handsome?, Ndo maana serikali haitaki kuchezea maliasili?
mwaka jana dreva wa huyu jamaa alikamatwa TANAPA walidai anatorosha nyara ya taifa.
 
Samahani nilitaka kujua kama hii picha ni halisi au umeifanyia editing, eti huyu kwao ndo handsome?, Ndo maana serikali haitaki kuchezea maliasili?

Kwa nini unatafutia wenzio ban?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Giza nene limetanda ndani ya CHADEMA kwa vile uongozi wa juu umekumbatia taarifa ya matumizi ya michango iliyotolewa na Mzee Sabodo kwa lengo la kujenga ofisi ya makao makuu na kuimarisha chama.

Upatikanaji wa taarifa za matumizi kuhusiana na fedha hizo imekuwa ni siri kali kati ya Mwenyekiti na Katibu, hivyo imepelekea baadhi ya viongozi wa kitaifa kususia shughuli za chama.

Wakereketwa wanashangaa kwa nini hadi leo hata mfuko mmoja wa sementi haujanunuliwa; watu walio karibu na uongozi wanasema sehemu kubwa ya fedha hizo zimetumika kugharimia kesi zinazomkabili Mwenyekiti.

Kwa ujumla uwazi haupo katika matumizi ya fedha ndani ya chama hiki, INASHANGAZA wakiwa majukwaani wanapiga vita ufisadi, KIMATENDO wanafanya ufisadi!

Source: Mwanachama aliye karibu na uongozi wa kitaifa
Ustaadh MAFILILI, next week Sabodo atafuturisha watu wenye mtindio wa ubongo. USIKOSE kujumuia na wenzako kwenye futri hiyo...
 
Last edited by a moderator:
chadema si chama cha siasa bali ni genge la wahuni linalotaka kujinufaisha kwa mgongo wa wananchi

Kampeni zenu chafu haziondoi ukweli kuwa kwa sasa chadema ni tishio kwa ccm na affiliates wake. Najua mnaumia sana na ukweli huu lakini hamna jinsi ya kufanya. Mmebaki kujifariji kwa post zenu mfu.
 
Hii thread imeanzishwa makusudi kwa ajiri ya kuongeza kipato (buku saba)

Lakini ina ukweli. Ni aibu kubwa zaid ya ten yrs chama hata Jengo hakuna. Mamilion ya Wafadhili na zile bakuli. Wapi hizo pesa.. Tafakari, Chukua hatua
 
Samahani nilitaka kujua kama hii picha ni halisi au umeifanyia editing, eti huyu kwao ndo handsome?, Ndo maana serikali haitaki kuchezea maliasili?

Huu ni udogo wa akili. Siasa majitaka ndiyo hizi...
 
Kweli hili ni genge la wachumia pesa zote hizo hata kujenga ofisi hamuwezi. Alafu mnataka tuwape nchi. ------- nyie
 
Habar za uongo hazinaga mashiko ili kuthibitisha propaganda zako ambatanisha nakala ya hati ya mapato na matumizi ya budget ya chadema ,hapo ndo utadiriki kutoa povu la mdomo wako kwa kuonesha kiasi gani kimepotea na nani kachukua-buku 7000 za lumumba zisikutoe ubinadamu ukawa unatumika kama toilet paper na Mwigulu Nchemba mwishowe ukaishiwa kumwagiwa tindikali na huyo huyo akakutembeza jukwaani kama msukule Tesha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nakala ya mapato na matumizi ya chadema hata akipata hawezi kuiweka hapa ,Itamuaibisha yeye na mabwana zake. Muhimu kwa kuanzia tujikumbushe kuwa Mzee Jafar Mstafa Sabodo aliwahi kutoa fedha kwa ajili ya kuendeshea bahati nasibu ya mfuko wa mwalimu Nyerere hebu atupe mwendelezo wa bahati nasibu hiyo halafu tutajadili ya chadema.
 
Nawasifu vijana wa LUMUMBA PROJECT mnajaribu sana ila bahati mbaya sana mnaowaambia ni GTs na tunajua mmeshaishiwa sera kama mwigulu kwani mara zote mnachoandika humu ni korasi yake.

Ifike mahali muone kuwa upumbavu wenu unatukinaisha. PUMBA TUPU.

Mkuu usisahau nukuu ya Dr. Kitila Mkumbo. Kumjibu mtu 'mjinga na '-------- ni 'ujinga na 'upumbavu" Achaneni na kuwajibu hawa kwenye issues zisizo ma mashiko.
 
Giza nene limetanda ndani ya CHADEMA kwa vile uongozi wa juu umekumbatia taarifa ya matumizi ya michango iliyotolewa na Mzee Sabodo kwa lengo la kujenga ofisi ya makao makuu na kuimarisha chama.

Upatikanaji wa taarifa za matumizi kuhusiana na fedha hizo imekuwa ni siri kali kati ya Mwenyekiti na Katibu, hivyo imepelekea baadhi ya viongozi wa kitaifa kususia shughuli za chama.

Wakereketwa wanashangaa kwa nini hadi leo hata mfuko mmoja wa sementi haujanunuliwa; watu walio karibu na uongozi wanasema sehemu kubwa ya fedha hizo zimetumika kugharimia kesi zinazomkabili Mwenyekiti.

Kwa ujumla uwazi haupo katika matumizi ya fedha ndani ya chama hiki, INASHANGAZA wakiwa majukwaani wanapiga vita ufisadi, KIMATENDO wanafanya ufisadi!

Source: Mwanachama aliye karibu na uongozi wa kitaifa

Kama zinatunika kugharamia kesi za mwenyekiti anazo bambikwa na CCM, tatizo liko wapi? Kupambambana na serikali ya CCM mahakamani ni sehemu ya mkakati wa hatimaye kuing'oa CCM. Labda mtu aseme katumia kwa mambo yake binafsi au hizo kesi ni zake binafsi na si mwenyekiti wa CHADEMA.

Hivi mnafijiri mzee Sabodo atakaa kimya wakati pesa yake inaliwa mchana kweupe? You must be joking!
 
Na Preta wa JF?

1526583020.jpg
 
Last edited by a moderator:
Ndio CCM imetufikisha mahali pabaya,,,,sasa nyie kama chama cha upinzani inabidi muwe mfano kwa kuwa wasafi,kutokuwa na ukabila,,tatizo kubwa la tz ni watu wanaojihusisha na siasa namaanisha CCM na CHADEMA ni ''OPPORTUNISTS''
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom