Sintofahamu ndani ya CHADEMA juu ya michango ya Sabodo

Sintofahamu ndani ya CHADEMA juu ya michango ya Sabodo

chadema si chama cha siasa bali ni genge la wahuni linalotaka kujinufaisha kwa mgongo wa wananchi

Na ccm ni genge la wanyang'anyi lipi genge lenye unafuu?kati ya wanyang'anyi wa ccm na wahuni wa cdm?tumia akili.
 
attachment.php


Kwa hiyo hii ni mikakati ya kuiua CDM kabla ya 2013 kama alivyosema Wasira?

Aisee hii picha weka mbali na watoto!
 
attachment.php


Kwa hiyo hii ni mikakati ya kuiua CDM kabla ya 2013 kama alivyosema Wasira?
ccm wanatafuta wa kufa naye lakini hawampati kwani CDM ni imala zaidi. Lakini makamanda hizi piacha zingine mnazo tupia hu jf ni hatari wengine tuna soma jf tukiwa na watoto so angalieni wasije kupata mishutuko usiku wakilala. VIVA CDM
 
Kua na akili za kisisiem kweli shida utakuta mtoa mada eti nae kuna watu wanamtegemea kwa kupost ujinga kama huu.

Kumbuka Karume aliwaambia nini Dodoma kwenye mkutano wao mkuu walipomzomea!

ImageUploadedByJamiiForums1374758016.702864.jpg
 
mkuu, hata fedha za sabodo hujui kuwa tayari zimetafunwa? sabodo mwenyewe nadhani bado hajashtuka

Mimi nadhani kabla hujacomments ungelimuuliza mleta hoja ameshajaribu kuwasiliana na uongozi kutaka kujua? na je yeye ni mmoja wa wafaidika kwenye hizo fedha? na je ni kwenye mradi gani ambao alitaarifiwa utataekelezwa na hizo fedha haujatekelezwa?. Ni vizuri tukawa wajenga hoja sio wabwatukaji tu.
 
chadema si chama cha siasa bali ni genge la wahuni linalotaka kujinufaisha kwa mgongo wa wananchi
yap!!!mkuu kalieni hayo hayo wakati CHADEMA inaendelea kusonga mbele yaani mtataja majina yoooooote mnayo yajua tangu utoton hadi ukubwan wenu lakini CHADEMA inasonga mbele nafikiri hata wewe unaona political parties development scale inavyo soma kati ya chadema na vyama vingine vya siasa na ccm ikiwemo,hapo ndo utajua lipi ni genge la wahuni na kipi ni chama cha siasa.kazi kwenu.
 
CCM ni kama Toi.Ukitaka kuliweka popote linakaa ,la msingi tafuta mweelekeo tu.Isitoshe wanaoitetea ni kama Raba bendi utaifungia mamilioni ya fedha ikichoka unatupa unavalisha nyingine,HUTHAMINIWI MWANACCM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom