Single parents wanazidi kushamiri, kwanini?

Single parents wanazidi kushamiri, kwanini?

Wanakamsemo kao wanasema "Siku hizi hatuzeeki, tunakufa tu" so wanazaa mapema ili hata wakija kufa awepo wa kuendeleza jina

Unanikumbusha Msaidizi wa afande IGP aliyefariki na familia yake.
 
Kuporomoka kwa maadili na tamaa ya wadada kukosa uvumilivu

Mkuu....
Kwahivyo umeona kabisa kwàmba wadada ndio wamekosa maadili, pia wameendekeza tamaa na kukosa uvumilivu?
Je wakaka wao wana positive side ya hayo unayo yasema!?
 
It takes two to tango.

Thusly, the increase of single mothers has to be inversely related to the increase of deadbeat dads.

Shameful.
 
Wanaume walio wengi wanakimbia majukumu sana siku hizi na haya ndo madhara ya taifa la mariooo wengi...Kuna mario anaweza ku-run family?
 
Habari zenu wana JamiiForums,

Leo ngoja niulize kitu kwa miaka ya karibuni kumekuwa na wadada wengi ambao wanazalia nyumbani yaani kwa sasa hivi unaweza ukaona binti mkali ukadhani hajazaa kumbe ana kid wake home na single parent inazidi kushika nafasi hasa kina dada, yaani ndio kusema wengi mnaachwa au ni nini?.

Maana wengi mnaishi kwenu au mmepanga lakini aliyekuzalisha hajulikani na wengi utasikia SITAKI KUSIKIA HABARI ZA MWANAUME hii inaanisha kwamba wanaume wanawazalisha halafu hawana time na nyie au kuna vitu mnavifanya hawavipendi?

Msaada tafadhali
Wanaume wanawaogopa hao wanawake balaa kiasi cha kutoka nduki mara baada ya kuharibu.
 
Habari zenu wana JamiiForums,

Leo ngoja niulize kitu kwa miaka ya karibuni kumekuwa na wadada wengi ambao wanazalia nyumbani yaani kwa sasa hivi unaweza ukaona binti mkali ukadhani hajazaa kumbe ana kid wake home na single parent inazidi kushika nafasi hasa kina dada, yaani ndio kusema wengi mnaachwa au ni nini?.

Maana wengi mnaishi kwenu au mmepanga lakini aliyekuzalisha hajulikani na wengi utasikia SITAKI KUSIKIA HABARI ZA MWANAUME hii inaanisha kwamba wanaume wanawazalisha halafu hawana time na nyie au kuna vitu mnavifanya hawavipendi?

Msaada tafadhali
Chips kuku na smart phone vimezalisha mimba nyingi sana na kiu ya kuolewa pia
 
Wanaume wa siku hizi ni tabu kuwapata
 
Back
Top Bottom