Single mums and dads come this way

Ni maisha gani yasiyo na changamoto?

Kuna taasisi yenye changamoto kama ya ndoa? Changamoto huwa zinaisha pale tu unapongia kaburini, vinginevyo lazima ziwepo. Hii ya kujiita single parent ni kujivictimise mwenyewe na kuona ulionewa na dunia, akchwali ni kuji abyuzi kisaikolojia inayopelekea self pity.

Hata walio single nao wana changamoto zao, why hawa wenye watoto bila wenza wasiwe na changamoto? That's nature, ndio maisha yenyewe.

Kongosho, ume experience kulea mtoto /watoto bila baba yao? Wajua kitanda usichokilalia.......!
Sidhani kama ni kazi rahisi, ina changamoto nyingi sana madhani. Sijui wewe mwenzangu unalionaje..!
 

Yote kwa yote maisha lazima yaendelee. Watoto wa hivi huwa wanakuja kuwa lulu baadae hadi babake atakuja kumtaman. Endelea kumlea tu.
 
Tatizo la watu wengi (Asprin, Kongosho, Bomandamo) ni kuzani kuwa dawa ya tatizo ni moja tu. Kwa mfano kama mtu anamalaria then Dawa ni Mseto tu fact ni kuwa kuna wanaoutumia Fansidar na kuna wanaotumia Metakelfin na wote wanapona.
Back to our issue, Solution ya single parent sio moja na haitaweza kuwa moja so please stop generalizing this issue. Miss Kim ukisoma post yake ya kwanza yeye kama mama anaona bora amwache mtoto akue "grows up enough to comprehend such things" ndio amwambie. Hujui kaona nini mpaka achukue huo uamuzi. Badala ya kuendelea kumlaumu na kuona kakosea jitahidi kumsikiliza, problem is we are too quick to talk than to put ourselves into someone else's shoes.
 

Wenzako wanakimbiwa ww unafuatwa unakimbia... lol... kweli people wapo tofauti
 

Hatuombei yatokee but huyo mtoto I don know ana umri gani, na kama si mkubwa ipo siku atakua na kuwa na akili ya kutambua vitu.... narudia tena ... hatuombei yatokee but ikitokea baba yake kaaga dunia na mtoto alikuwa na uwezo wa kumuona baba yake angali hai ukamficha utamwambia nn mtoto wako akuelewa... huoni ya kuwa utakuwa umemkosesha mtoto wako kitu cha muhim sana ktk maisha yake.... thing beyond
 
Yote kwa yote maisha lazima yaendelee. Watoto wa hivi huwa wanakuja kuwa lulu baadae hadi babake atakuja kumtaman. Endelea kumlea tu.

Sana tu dalili za kuwa msaada kwangu ni kubwa tu,najitahidi kumlea katika maadili mema na kumpa vile vya muhimu aliyofanya baba yake anayafahamu kwa hiyo hanisumbui hata kuongelea utasikia anasema mom achana nae bwana wa nini? Nashukuru sana anaakili ya kiutu uzima.
 
Kama huwezi kuzaa peke yako bila mwenza, tambua kuwa huna mamlaka ya kumnyima mtu kumjua baba/mtoto wake period.

Sababu zake sio za baba wala mtoto. Nimemsikiliza, unless kama ana maelezo mengine zaidi ya aliyosema, ambayo pia si fair kuyatoa hapa. Na akchwale nazungumzia hili suala kiujumla wake sio Miss Kim pekee.

Zamani watoto walemavu, kwa uamuzi wa wazazi tena ukute wote wawili, kwa ajili ya kuprotect watoto wao walemavu, walikuwa hawawapeleki shule, je ulikua uamuzi wa busara? Ilibidi serikali ianze kuelimisha watu kupeleka watoto wao shule, na wakati mwingine kwa nguvu.

Kwa hiyo, sio kila mara protection ya mzazi inakuwa na tija kwa maisha ya mtoto ya baadae.

 

Sielewi kwa nini umetumia hayo maelezo kama kweli umepitia comments za Miss Kim na kuzielewa, but anyway let us agree to disagree.

To you Miss Kim, I respect your decisions and you are in my prayers.
 
Last edited by a moderator:

nimejikuta nacheka sana. watu tumewahi kuchukia baba zetu ila hii ya kwako kali. yaani matusi yote ya kwake! hahahaaaaa big ass, kiazi, kubwa jinga................ Ila nakubaliana na ushauri uliompa devota.
 
Sijui ni wapi sijaeleweka au nawaumiza, ngoja nikipata sheria/muongozo huo nitauweka hapa, mtoto kumjua mzazi wake halisi ni haki yake ya msingi, hata kisheria inatambulika hivyo, achia mbali kisaikolojia tu.

Sielewi kwa nini umetumia hayo maelezo kama kweli umepitia comments za Miss Kim na kuzielewa, but anyway let us agree to disagree.

To you Miss Kim, I respect your decisions and you are in my prayers.
 

Wababa wengine wanakera sana heri
uwe na baba asiye na uwezo lakini akujali kuliko awe na uwezo halafu anakutosa,inatia uchungu sana,lakini inshaAllah Mwenyezi Mungu atufanyie
wepesi kwa kila hali..
 
Wengine Mola wetu alitupatia mtihani mkubwa,,, kwa uwezo wake Allah maisha yanasonga,, na watoto wanasoma Alhamdulillah japo wanakosa guidance ya mama... Halaumiwi aliye juu ya kila kitu ila it is real hard
 
Hakuna maisha yasiyo na changamoto, hilo nakubaliana na wewe kwa asilimia zote..uwe singo, ingejdi, umeoa/umeolewa, uwe/ usiwe na watoto. Maisha ni changamoto kila kukicha.

Tukija kwenye swala la malezi, changamoto hazilosekani pia. Uwe na mwenza au usiwe nae ni lazima ukabiliane na changamoto za hapa na pale. Lakini uwepo wa wazazi wawili ndani ya nyumba, kushauriana na kusaidiana ni jambo la muhimu Sana. Ndio maana wahenga walisema kidole kimoja....! Na wala sidhani kumwita mtu singo parenti ni kumviktimaiz au kumdivalyu. Huo ndio ukweli, malezi yanayotolewa na mzazi mmoja ni usingo parenting huo.
 
nimejikuta nacheka sana. watu tumewahi kuchukia baba zetu ila hii ya kwako kali. yaani matusi yote ya kwake! hahahaaaaa big ass, kiazi, kubwa jinga................ Ila nakubaliana na ushauri uliompa devota.

Nakusubiri pm
 
nimejikuta nacheka sana. watu tumewahi kuchukia baba zetu ila hii ya kwako kali. yaani matusi yote ya kwake! hahahaaaaa big ass, kiazi, kubwa jinga................ Ila nakubaliana na ushauri uliompa devota.
Hata mie Kilaza kaniacha mdomo wazi. Siwezi kuvaa viatu vyake coz wazazi wangu walikuwepo na wote walihakikisha napata malezi bora. Lakini kumtukana mzazi kiasi hicho...mmmmh!
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni sababu zipi zinaweza kuhalalisha baba kumkana mwanae???
Baba kumkana mwanae ('wewe sio mwanangu', 'mwambie mamako akuonyeshe babako') ni mbaya sana kwa mtoto na mama!!! Sasa mimi naona mama kumnyima mwanae haki ya kumjua baba na baba kutojua ana mtoto ni sawa kabisa na baba kumkana mwanae!



 
Hata mie Kilaza kaniacha mdomo wazi. Siwezi kuvaa viatu vyake coz wazazi wangu walikuwepo na wote walihakikisha napata malezi bora. Lakini kumtukana mzazi kiasi hicho...mmmmh!

Usimlaumu wa kumshangaa Kilaza huwezi jua maumivu yake alivyoona mama kakimbiwa hana pakuanzia na watoto wanasubiri malezi wakati baba anahangaika
na wanawake wengine,ana uchungu jinsi mama yake alivyoteseka wakati mtu wa kumsaidia alikuwepo.Kilaza sikuhukumu katika hili ila najua umejifunza kitu,pole sana na Mungu atazidi kumbariki mama Kilaza.
 
Last edited by a moderator:
Poleni single mom's wote nikiwemo na mm.ila mm ckutendwa ila Allah alinipa mtihani mkubwa alimchukua baba Wa mtoto mapema Sana maskini mwanangu hajui hata Mapenzi ya baba yakoje! ila namshukuru Mungu ajaniacha najitahidi kumtimizia mwanangu akitakacho ili asione pengo la baba.Ana 12 yrs sasa yupo std six Mdada tayari.ila nimepitia changamoto nyingi zenye kuumiza na kukatisha tamaa ila nimesimama imara.wakati Mwingine humu ndani ndiyo mabingwa Wa kutuponda single mom's bila kujua ilikuaje mpaka tukawa single mom.
 

mi naona tuwaache watu wafanye wanayoona ni sawa maana kitu kisipokuwa sawa kwa wote hakiachi kuwa sawa. hizi habari za haki haki wakati mwingine hazina maana. watu wengi hapa wameonyesha walijaribu kutekeleza huo wajibu wa kuwataarifu wazazi wenzao juu ya watoto lakini walichoambulia ni maumivu tu. baba hataki kumtambua mtoto lakini mama bado anang'ang'ana kumtambulisha japo kwa ndugu wa baba. haki ya mtoto kufahamu mzazi. nilishawahi kutoa mfano wa ukweli hapa juu ya binti aliyeamua kumtafuta babaye ukubwani baada ya kufichwa na mamake. yaliyomkuta yule binti hatakaa asahau. aliponea kubakwa na babake siku ya kwanza tu waliyoonana. Inawezekana kabisa mama alijua amezaa na kichaa wa ngono - si ajabu naye alibakwa. Hatujui yanayoendelea kwenye vichwa vya watu, ikiwezekana tuwaache tu. Halafu unavyodai ni haki ya mtoto kufahamu wazazi wake mbona kule juu ulimponda mama anayedai haki ya matunzo ya mtoto mpaka mahakamani kwa kusema malezi si material tu??? Kwa hiyo mzazi wa kiume ana haki ya kumjua mwanae ila ana uchaguzi wa kulea au kuacha?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…