Single mums and dads come this way

Kwa hiyo ulitaka alete stori yake hapa halafu watu wasiijadili??!! Wasiotaka kujadiliwa stori zao wamebaki nazo wenyewe.

Ameshare na inaweza iwe funzo kwa wengine lakini hakusema ili tukae tukimzodoa au kumsimanga!Wewe naona una stress za maisha hebu chukua chillpill!
 
Hakuna cha inferiority complex wala ukwaju!kwanini useme "ur happy" tu wewe mwenyewe huoni kama hio ni unfinished sentence lazima kuna sababu behind ur happiness!Na kila mtu ana uhuru wa kusema atakalo,you know there is something called freedom of speech ni moja ya haki za binaadamu wote!
 

nenda kalee wanao!!
usikimbie damu zako kaka!!
ungekua we si mzinzi usingetelekeza watoto
afu mi siko hvyo unavyofkria
sina kinyongo na mtu na nlishasahau nna ndoa yangu nowdays lengo ni kukumbuka wengine wajifunze
 
msome vizuri huyo miss, HAJATELEKEZEWA MTOTO, amedhulumu mtoto!

nimemuelewa sana ila soma comments zake zote utaona anavyoshutumu watu
huyu ukute ana watoto sita wa mama tofauti na hahudumiii so hapa anaona na ye pakuponea
 

Dada, yawezekana wajiona wafanya sawa, lkn kiulweli wajidanga kwa kuwa tu mambo yako ni mazuri. Hata hivyo mtoto asiye na mzazi mmoja anakosa kitu cha mihimu sana, mtoto akisikia sauti tofauti na mama yake chumbani inamdaidia sana makuzi yake, mtoto akisikia baba anamgombeza na akienda kwa mama naye anamfurusha, inamsaidia kuhenga tabia chanya maishani.

Vv
 

Everthing happens for a reason
 
nimemuelewa sana ila soma comments zake zote utaona anavyoshutumu watu
huyu ukute ana watoto sita wa mama tofauti na hahudumiii so hapa anaona na ye pakuponea

Hapana dada yangu, mjasiria amejitahidi kuwa objective, nafikiri msiwe overtaken na emotions.

Tusiweke assumptions kwamba anayekuwa against your opinion ana watoto nje.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Hapana dada yangu, mjasiria amejitahidi kuwa objective, nafikiri msiwe overtaken na emotions.

Tusiweke assumptions kwamba anayekuwa against your opinion ana watoto nje.

everthing happens for reasons
uzinzi upo na utaendelea kuwepo
wapo watu wameolewa na wametelekezwa pia
ngoja nkupe mf:mama angu mkubwa alikataliwa na baba wa mtoto 28years ago
miaka 20 iliyopita mamkubwa amefariki mtoto kalelew a na mama zetu wakubwa na mama angu mzazi na mamdogo tu
baba anajiweza na alimkataa mtoto
kasoma kwa shida sana leo ana kazi nzuri sana
miezi3iliyopita mamdogo kamuita yule binti akamwambia babako yupo na anahitaji kuongea na wewe
on the spot!!!akamwambia mamdogo sina baba leo ndo anajua km ana mtoto simtaki simtaki na sina haja nae
kumbe yule mzee hana mtoto mwingine na ni mtu mzima
so ndgu yangu mtu km huyo mzee akiitwa jibwa kuna ubaya
amekaaa miaka yote leo analeta kende zake kutaka mtoto kisa kule kungine hajazaa means angezaa asingemkumbuka
yaani alimfanya reserve
ila sie km ndg tumemwambia the choice is yours kumkubali au kukataa
amesema sina baba na sitaki hata kumuona
 
Last edited by a moderator:
Hapana dada yangu, mjasiria amejitahidi kuwa objective, nafikiri msiwe overtaken na emotions.

Tusiweke assumptions kwamba anayekuwa against your opinion ana watoto nje.
Mkuu watu hawataki kuwajibika kwa matendo yao. Yaani wanataka kuhurumiwa hurumiwa tu.
 
Kwa hiyo wewe unashindwa kuwa wazi kwa sababu kuna watu kama mimi watatofautiana nawe??!!! Huko ni kukosa ukomavu wa kifikra. Wewe kama unaamini unachofanya ni sahihi, jadili kwa hoja kuonesha usahihi wako. Kongosho ametoa hoja nyingi tu kuonesha udhaifu wa uamuzi wa Miss Kim. Na wewe kama hujapenda toa hoja, Sio uje hapa utake kufunga watu midomo!!! Kwanza ukishaweka kitu hapa tegemea kitu chochote tu kwa sababu hapa ni uwanjani kuna watu wa kila aina.
 
wanaume msiwe sperm donors, muwajibike ipasavyo muwe wababa kwa watoto wenu. huu usingle utapungua sana
 
nenda kalee wanao!!
usikimbie damu zako kaka!!
ungekua we si mzinzi usingetelekeza watoto
afu mi siko hvyo unavyofkria
sina kinyongo na mtu na nlishasahau nna ndoa yangu nowdays lengo ni kukumbuka wengine wajifunze
We utakuwa na matatizo ya akili sio bure. Hao wanangu nilizaa na wewe??!!!
 
Kumbe unajua kuna freedom of speech??!!! Acha tuseme basi sasa kinakuuma nini?
 
Kongosho amesema anayotaka kusema na mimi nimesema ninayotaka kusema sasa kama ww umeamua kuwa mshenga wake thats your business...And point of correction I AM AN OPENMINDED PERSON na nina uhuru wa kusema nikitakacho!kuna watu wengi tu wametoa udhaifu wa Miss Kim ukiachia mbali huyo mshenga wako na kwa busara sana tu!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…