Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
ngoja nione hii penalty
imenibidi nianze kuangalia world cup wakati nilikua sina mpango
duhhhhhhhhhhh na sisi wahamiaji je
Excel vaislay =morg lol
miss neddy hebu come zis way kuna novida zako mbili unianbie uzurii
unajua nini miss neddy, mi nilishtuka sana mbona baada ya kumjibu kuhusu vibamia huyu dada amepotea ghafla?
nikawaza kwamba lazima atakuwa na kitu nyingine..
sasa wadau kwanini msiwe mnaanzisha tu thread kwa ID zenu ambazo ni known kabisa? why lakini?
mechi ikiiisha chap chap unipe matokeo lol
Spain 1 had sasa....
ngoja nikalale mamy mpira sio interest yangu
yaaani tatizo id za zamani mtu hawi huru kutoa ya moyoni anaogopa kupunguza rep zake
nakupenda sana baby ake
demba asione hapo
Heaven on Earth yuko single bibie!baba kijacho hayupo around akupe kampani
Spain 1 had sasa....
ngoja nikalale mamy mpira sio interest yangu
nna macho had kisogoni
mseme tu jamani.. kwani shida nini?
mimi kesho naanzisha bonge la thread kuhusu mimi na baby N!
Lazima kieleweke dadeki!
Multiple IDs at work......:smile-big:.
Ila lazima atakuwa kaharibu sehemu maana admins huwa hawaziunganishi hovyo hovyo hizo IDs hata kama wanajua.
D! mi naanza kukupenda wewe rasmi! sawa D?
naja pembeni kukupa zawadi nonooo ile yenye moderate temperature! lol