Single momz tunashida sana katika mahusiano

Single momz tunashida sana katika mahusiano

Status
Not open for further replies.
UNA BUSARA SANA ANKAL ANGU....

HIVI NINI KINAPELEKEA SINGLE MUM KAMA SIO WANAUME KUKWEPA MAJUKUMU YAO NA KUKATAA MIMBA???

KWANI HIZO MIMBA WANAJIPA WENYEWE, NINYI MNAODHIHAKI NA KUBEZA SINGLE MUMS, MARA NGAPI MMESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUSABABISHA SINGLE MOM WALIO HAI NA WALIOKUFA???

KUNA WANAWAKE WANAABORT BILA KUWAPA TAARIFA WANAUME ZAO...

MY TAKE: MSIJIFANYE KUBEZA SINGLE MUMS WAKATI MNASHABIKIA MICHEPUKO, MKIEAPA MIMBA HAO WANAWAKE MNA UWEZO WA KUWAOA SECOND WIVES???

"Usimcheke mkunga uzazi ungalipo"

charminglady uhandishi huu wa ALL CAPS means shouting, why?
 
Last edited by a moderator:
Umeona eeeh... Hii si ya kusimuliwa ni live aisee, kuna mmama niseme, alikuwa na watoto sita (wawili wa baba mmoja na wanne wa baba mbalimbali) But alikana hajawahi kuzaa hata mmoja. Mwanaume akamuamini na akamuoa!

Waache waendelee kudanganywa kuwa wanawake wanaowaoa ni mabinti. Ila kama wakikuta wana bikra hongera ila aise ya bikra 99% ni single mom hasa wauaji.....
Huyo nae ovyoooo utakaneje watoto wote hao?
Wanaume wangejua mjini mimba zinavyotolewa wangewazawadia wanaoamua kusimama na kulea bila kujali Hali wanazokabiliana nazo
 
yeah ni kweli mkuu....imenigusa mno....hadi miss neddy amenistukia...sometimes I am emotional kwenye baadhi ya sensitive issues, am just human u know....

...such is life kamanda...! Have fun it's Friday!!. miss neddy yupo kukupa company!!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom