Single momz tunashida sana katika mahusiano

Single momz tunashida sana katika mahusiano

Status
Not open for further replies.
UNA BUSARA SANA ANKAL ANGU....

HIVI NINI KINAPELEKEA SINGLE MUM KAMA SIO WANAUME KUKWEPA MAJUKUMU YAO NA KUKATAA MIMBA???

KWANI HIZO MIMBA WANAJIPA WENYEWE, NINYI MNAODHIHAKI NA KUBEZA SINGLE MUMS, MARA NGAPI MMESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUSABABISHA SINGLE MOM WALIO HAI NA WALIOKUFA???

KUNA WANAWAKE WANAABORT BILA KUWAPA TAARIFA WANAUME ZAO...

MY TAKE: MSIJIFANYE KUBEZA SINGLE MUMS WAKATI MNASHABIKIA MICHEPUKO, MKIEAPA MIMBA HAO WANAWAKE MNA UWEZO WA KUWAOA SECOND WIVES???

"Usimcheke mkunga uzazi ungalipo"

Umenena my twin....wapo watu hapa wanabeza single momz lkn ukiwaangalia ni wazinzi wakubwa....binadamu bhana sijui tuko vipi...tunajifanya kupotezea mambo yaliyojificha af tunashughulika sana na mambo yanayoonekana..
 
Nishatoa #235 #
Am proud of single parent
Wana historia ndefu sana most of them
Wanawake wengi walio sigle mom ni mashujaa cos wanapata changamoto nying, mate so, jamii kumuona Malaya nk
Ila watu hawajui kuna Malaya wa chini chini kbaoooooooo
Bora kuoa single mom ambaye unaona sprepa...used...kashusha injini nk au kuoa hawo mabint single walotoa
Mimba kibao..wametembea na watu kbao nk?
Tusiwakashifu single mom while hujui kisa chochote...
Hao wanaopenda waje washuhudie kama kwenye familia zao/ ukoo/ ndugu ambao ni single mom/ parent au wanaume walokana mimba...

baas..umebarikiwa sana kuwa na upeo huu, na amebarikiwa zaidi mama yako aliyekulea vyema ICHANA
 
Last edited by a moderator:
UNA BUSARA SANA ANKAL ANGU....

HIVI NINI KINAPELEKEA SINGLE MUM KAMA SIO WANAUME KUKWEPA MAJUKUMU YAO NA KUKATAA MIMBA???

KWANI HIZO MIMBA WANAJIPA WENYEWE, NINYI MNAODHIHAKI NA KUBEZA SINGLE MUMS, MARA NGAPI MMESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUSABABISHA SINGLE MOM WALIO HAI NA WALIOKUFA???

KUNA WANAWAKE WANAABORT BILA KUWAPA TAARIFA WANAUME ZAO...

MY TAKE: MSIJIFANYE KUBEZA SINGLE MUMS WAKATI MNASHABIKIA MICHEPUKO, MKIEAPA MIMBA HAO WANAWAKE MNA UWEZO WA KUWAOA SECOND WIVES???

"Usimcheke mkunga uzazi ungalipo"

Ameen.... na tena Ameen....baada ya post hii adhimu, tunaweza kupata samaki choma na soda bariiidi kabisa ile sehemu yetu? Mtambuzi anachezewa sharubu tu mjini, hajui kuna mambo gani huku..
 
Last edited by a moderator:
Hahaha kweli Kabisa watu wamewaacha watoto mikoani wanakula raha miiini na kusema hawana watoto. Mungu akinibariki mtoto ninaahidi kuwa proud nae in anyhow. Kwa mtonyo gani hasa nimkane mwanangu???

Umeona eeeh... Hii si ya kusimuliwa ni live aisee, kuna mmama niseme, alikuwa na watoto sita (wawili wa baba mmoja na wanne wa baba mbalimbali) But alikana hajawahi kuzaa hata mmoja. Mwanaume akamuamini na akamuoa!

Waache waendelee kudanganywa kuwa wanawake wanaowaoa ni mabinti. Ila kama wakikuta wana bikra hongera ila aise ya bikra 99% ni single mom hasa wauaji.....
 
Hahaha kweli Kabisa watu wamewaacha watoto mikoani wanakula raha miiini na kusema hawana watoto. Mungu akinibariki mtoto ninaahidi kuwa proud nae in anyhow. Kwa mtonyo gani hasa nimkane mwanangu???

kwa mtonyo wa shella ukumbini, wengine just to meet social norms
 
Ameen.... na tena Ameen....baada ya post hii adhimu, tunaweza kupata samaki choma na soda bariiidi kabisa ile sehemu yetu? Mtambuzi anachezewa sharubu tu mjini, hajui kuna mambo gani huku..

Mzee Mtambuzi atapita hapa kesho saiv hawezi kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake....

Nitakupm!!
 
Last edited by a moderator:
Ameen.... na tena Ameen....baada ya post hii adhimu, tunaweza kupata samaki choma na soda bariiidi kabisa ile sehemu yetu? Mtambuzi anachezewa sharubu tu mjini, hajui kuna mambo gani huku..

Soda pia unakunywaga?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Heri kuwa single mom kuliko kuwa cheated
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    31.2 KB · Views: 55
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom