Single momz tunashida sana katika mahusiano

Single momz tunashida sana katika mahusiano

Status
Not open for further replies.
Heheh Mbona wanawake wengi sana ni single moms...sema tu wengi wao ni single moms kwa watoto marehemu (waliowaua). Wachache waliamua kusimama imara kubeba na kukabiliana na changamoto zote kwa ajili ya watoto wao na Ndio Hawa wanaopewa maneno ya kukashifiwa.

So mwanaume anaona fahari Kuishi na muuaji (asiyemjua) kuliko Kuishi na life saver anayemjua?

Mimba zinatolewa sana asikwambie mtu, mtu ametoa mimba Hadi 6 jamani sasa Huyu si ni screpa tayari?? omba kupatiwa mke mwema mengine yote yatakamilika.

Asante mrembo.......umesema ukweli ambao nimeona wanaume wengi wanaukwepa...narudia tena I DO RESPECT SINGLE MOMZ...
 
Heheh Mbona wanawake wengi sana ni single moms...sema tu wengi wao ni single moms kwa watoto marehemu (waliowaua). Wachache waliamua kusimama imara kubeba na kukabiliana na changamoto zote kwa ajili ya watoto wao na Ndio Hawa wanaopewa maneno ya kukashifiwa.

So mwanaume anaona fahari Kuishi na muuaji (asiyemjua) kuliko Kuishi na life saver anayemjua?

Mimba zinatolewa sana asikwambie mtu, mtu ametoa mimba Hadi 6 jamani sasa Huyu si ni screpa tayari?? omba kupatiwa mke mwema mengine yote yatakamilika.

unawatia moyo? Hahahaaaaa! Hatujawalaumu kuwa na watoto ila sisi hatupendi kuoa waliozalishwa.
Halafu nyinyi wenyew mawifi ndio mnakuwa na vidomo kweli ukiskia kaka yako anaoa mke mwenye mtoto.
Hapa mnavyoongea mtafikir mnauchungu kumbe ni majoka tena ndumila kuwili.

Hamchelew kuwachamba mawifi zenu utafikir nyinyi sio wanawake. Morg na Vaislay najua mmenichukia kwa kauli yangu ila ukweli hata wanawake wenzenu ambao ndio watakuwa mawifi zenu hawapendi kaka zao kuoa mwanamke mwenye mtoto. Hilo mm nmeliona kabisa kwa macho yangu. Ukute sasa ww mwanamke unahali ya chini kimaisha na mmeo anapesa na mawifi zako wawe wanamtegemea nakuambia utajuta kuolewa na kaka yao watakutenga na kukusengenya
 
Last edited by a moderator:
Ntarudi..nina kiu sasa hivi..but big up to Morg Miss Kim Vaislay Matola Mentor sister Karucee Khantwe Pretty....michango yenu nimeikubali sana.

hata mimi wacha nipige dubai kwanza kuondoa uchovu ila nitarudi hapa lazima kieleweke hatutaki kurudia mada moja daily.

namkaribisha single mother yoyote kukata kiu pamoha nami, I mean kiu ya kinywaji.

Heaven on Health remember ur promise mimi nimeshaandaa swaga zangu tayari, na huyu dj hapa pub ananikuna vilivyo anadondosha vitu vya enzi zetu 7 floor.
 
Last edited by a moderator:
General point:

Jambo nililojifunza kwa miaka hii michache niliyoishi duniani hapa;

Love hath no definition nor formula.

Utakapojikuta unampenda mtu, utastaajabu yale uliyokuwa unayaponda ndo yanakuvutia kwake.


Back to topic:

Hivi, hili suala la mama kwenda kuchukua fedha ya matumizi kwa mtu mwingine ilhali kaolewa kwingine linatokeaga wapi? Mimi nimezoea kwamba ukiolewa, anayekuoa anachukua majukumu yote ya kulea nyumba au? Maneno ya oooh sijui vikao vya shule ataenda na baba yake na mkeo, au akiumwa sijui nini...I don't htink ni sahihi ndiyo maana naona vijana wengi wanatoka povu hapa.

My stand is, nimekuoa - nimependa boga na ua lake - nitachukua jukumu la baba kwa mwanao. Mimi ndiyo baba. ALL and I repeat ALL CORRESPONDENCIES (be them to your kid or my wife) zipitie kwangu hadi pale mtoto atakapofika 18 years.

Nje ya hapo hujaoa single parent umekuwa co-parent tu.

Second, raise your kids to respect each other bila kusema huyu wa fulani na huyu wa fulani (it begins with you..parents). Mkianza tu kuwatenga..problems.

Mwisho, Makomana et al, usitukane mamba na hujavuka mto..am just saying!

Cc: Mtambuzi - jamii inahitaji tena lecture yako ya kutokuwa defined kama jamii inavyotaka.

Duuu aisee wanaume wote tungekua this positive and optimistic duuu
 
Last edited by a moderator:
I see wewe unacheza makidamakida kweli, umeoa mama huja-adapt mtoto, usijiingize king hata siku moja katika hili unless huyo mtoto kama katelekezwa na baba yake.

Tena usiombe mwenye mtoto ndio niwe mimi, ugonjwa kidogo tu mtoto anaenda kutibiwa india na naondoka na mke wako tukiwa kama wazazi kwenda kusimamia matibabu ya mtoto.

wewe usubili tu mpaka turudi vacation isiyo rasmi.

Kwann ulimuacha kama bado unampenda?
Ujinga huo badala ya kumuheshim jamaa anafanya kazi uliyoishindwa unaleta hzo dharau
Trust me nikioa mwanamke ana mtoto
Mwanae atatibiwa kama wanangu
Atasoma kama wanangu
Hataki ataishi nje ya nyumba yangu
Hzo tiba zako za India sijui japan zilikua wp wakat una kana/unamuacha?
 
Heheh Mbona wanawake wengi sana ni single moms...sema tu wengi wao ni single moms kwa watoto marehemu (waliowaua). Wachache waliamua kusimama imara kubeba na kukabiliana na changamoto zote kwa ajili ya watoto wao na Ndio Hawa wanaopewa maneno ya kukashifiwa.

So mwanaume anaona fahari Kuishi na muuaji (asiyemjua) kuliko Kuishi na life saver anayemjua?

Mimba zinatolewa sana asikwambie mtu, mtu ametoa mimba Hadi 6 jamani sasa Huyu si ni screpa tayari?? omba kupatiwa mke mwema mengine yote yatakamilika.

Maneno yako yana ukweli mrembo, wengi wanaishi na wauaji, lakini kumbuka kama ex wangu alichoropoa mimba, nilishiriki pia.. Kwa hiyo no big deal..

Tatizo sio kumuoma single mama kama scraper, aliyetumika sana au looser flani, sivyo. Tatizo Ni zile "kero" mtu atakazopata wakati mkiishi pamoja, hasa mawasiliano ya hawa wazazi kwa vile do or die watawasiloana, watalumbana na kusaidiana katika malezi ya mtoto wao, hata kama mimi nitajiweka karibu na kutoa malezi kwa mtoto.
 
..........only in Africa/Tanzania wanaume mna fikra mbaya kuhusu single mama. Majuu single mama wanaolewa hata kama ana watoto 3.

Kwani majuu ndo wanapenda kuhudumia watoto Wa watu?
Sema kila MTU ana perception.take kuhusu hilo but ni ulimbukeni kusema afrika hawaolewi ila majuu wanaolewa
 
maneno yako yana ukweli mrembo, wengi wanaishi na wauaji, lakini kumbuka kama ex wangu alichoropoa mimba, nilishiriki pia.. Kwa hiyo no big deal..

Tatizo sio kumuoma single mama kama scraper, aliyetumika sana au looser flani, sivyo. Tatizo ni zile "kero" mtu atakazopata wakati mkiishi pamoja, hasa mawasiliano ya hawa wazazi kwa vile do or die watawasiloana, watalumbana na kusaidiana katika malezi ya mtoto wao, hata kama mimi nitajiweka karibu na kutoa malezi kwa mtoto.
:a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13::a s 13:
 
Hawana mapenzi ya kweli. Kwao mtoto ndio was thamani. We we no 2.ameshindwa baba was motto wewe atakupendea less. Wanatabia za kuua unapokuwa name Mali. Kukufanya ndondocha. Wachapeni Keisha msepe. Used . Nani asiejua thamani ya usichana? Hata wao wanakumbuka usichana wao. Msiwaoe lambda kama alizaa akiwa shule.lakini alieishi name bwana hafai zaidi ya kuwa poneo tu.data kama ana v8 . Unakuwa name poneo LA ukweri ndoa no.

So kila single mom ni
1 muuaji
2 hana Mapenz ya shati
3 Malaya
4 wachawi(wantumia wanaamini nguvu za giza kukufanya ndondocha)?

Duuuu nikikuambia ulaaniwe sitakosea kwa dharau zako
 
Kwanini niowe mwanamke aliezalishwa tayari? Umechuja kimapenzi unafikiria kulea watoto tu! Tafuta mwenzako mnae match nae.kama huyo mwanamme hafai kuwa mume,kwanini ulimpa papuchi? Wewe umeshindikana.

Huyo so called mnamatch nae una uhakika gani kama hajayoa mimba kadhaa?
 
General point:

Jambo nililojifunza kwa miaka hii michache niliyoishi duniani hapa;

Love hath no definition nor formula.

Utakapojikuta unampenda mtu, utastaajabu yale uliyokuwa unayaponda ndo yanakuvutia kwake.


Back to topic:

Hivi, hili suala la mama kwenda kuchukua fedha ya matumizi kwa mtu mwingine ilhali kaolewa kwingine linatokeaga wapi? Mimi nimezoea kwamba ukiolewa, anayekuoa anachukua majukumu yote ya kulea nyumba au? Maneno ya oooh sijui vikao vya shule ataenda na baba yake na mkeo, au akiumwa sijui nini...I don't htink ni sahihi ndiyo maana naona vijana wengi wanatoka povu hapa.

My stand is, nimekuoa - nimependa boga na ua lake - nitachukua jukumu la baba kwa mwanao. Mimi ndiyo baba. ALL and I repeat ALL CORRESPONDENCIES (be them to your kid or my wife) zipitie kwangu hadi pale mtoto atakapofika 18 years.

Nje ya hapo hujaoa single parent umekuwa co-parent tu.

Second, raise your kids to respect each other bila kusema huyu wa fulani na huyu wa fulani (it begins with you..parents). Mkianza tu kuwatenga..problems.

Mwisho, Makomana et al, usitukane mamba na hujavuka mto..am just saying!

Cc: Mtambuzi - jamii inahitaji tena lecture yako ya kutokuwa defined kama jamii inavyotaka.

ubarikiwe
 
Last edited by a moderator:
Heheh Mbona wanawake wengi sana ni single moms...sema tu wengi wao ni single moms kwa watoto marehemu (waliowaua). Wachache waliamua kusimama imara kubeba na kukabiliana na changamoto zote kwa ajili ya watoto wao na Ndio Hawa wanaopewa maneno ya kukashifiwa.

So mwanaume anaona fahari Kuishi na muuaji (asiyemjua) kuliko Kuishi na life saver anayemjua?

Mimba zinatolewa sana asikwambie mtu, mtu ametoa mimba Hadi 6 jamani sasa Huyu si ni screpa tayari?? omba kupatiwa mke mwema mengine yote yatakamilika.

Kuna jamaa anajiona so brilliant kasema kwann jone screpa(single mom) kwann usitafute mnae"match"
Nimemuuliza swali do go tu
Anajuaje kama huyo so called an a match nae hajatoa mimba hata 3?
Hz dharau zinatuponza sana wanaume hakika IPO siku tutanyooka kwa ujinga kama huu
 
unawatia moyo? Hahahaaaaa! Hatujawalaumu kuwa na watoto ila sisi hatupendi kuoa waliozalishwa.
Halafu nyinyi wenyew mawifi ndio mnakuwa na vidomo kweli ukiskia kaka yako anaoa mke mwenye mtoto.
Hapa mnavyoongea mtafikir mnauchungu kumbe ni majoka tena ndumila kuwili.

Hamchelew kuwachamba mawifi zenu utafikir nyinyi sio wanawake. Morg na Vaislay najua mmenichukia kwa kauli yangu ila ukweli hata wanawake wenzenu ambao ndio watakuwa mawifi zenu hawapendi kaka zao kuoa mwanamke mwenye mtoto. Hilo mm nmeliona kabisa kwa macho yangu. Ukute sasa ww mwanamke unahali ya chini kimaisha na mmeo anapesa na mawifi zako wawe wanamtegemea nakuambia utajuta kuolewa na kaka yao watakutenga na kukusengenya

Sisi(wewe na nani?)
 
Last edited by a moderator:
Mi nafikiri shida ya kwanza ni sisi wenyewe single moms,utakuta mtu una mtoto halafu hutulii ni kujrahisi tu kwa baba mtoto ksa tuu amekuzalisha unadhan itakuwa ni rahisi kwa mwanaume kukuoa wewe?? Mwingine ana mtoto halafu ana mdomo nyodo za kla rangi anazjua yeye akuoe nani?? Ngoja nkwambie mwanamke mwenzangu uliyeachwa solemba na mwanao, tulia,lea mwanao kama aktokea muoaj akakta umetulia tuli na mwanao akaamua kukuoa hakksha anaujua ukweli na awe tayar na wewe uache kujfanya ndo unajua sana kufuata matumizi cjui mawasliano na uyo dady wa mtoto na ikiwezekana umwambie hyo mwanaume ishu za mtoto awasliane na fadha hauc kabsaaa,... Mi cdhan kama dunia ya leo hii mtoto anaweza kuwa ni issue kbwa hvo mbona wengine tumeolewa jaman?

dada yangu we ndo unalitambua hilo wengine kabla hajapata mwanaume wa kumuoa wanakua hawana mawasiliano ya karibu kwa ajiri ya kukwepa majukum akiolewa simu haziishi kisa anaulizia hari ya mtoto afu balaa kwa mtoto mwenyewe akikosea ukimuonya inaoneka unamnyanyasia mwanae
 
Twende mbele turudi nyuma single mothers wengi atakupenda muda atakaoona mwenzeke aliyezaa naye haonyeshi ushirikiano juu ya mtoto,Na mapenzi yao yanalawama nyingi na ni ya ulinganifu,mkikosana wanakimbilia kusema "hata tukiachana nitabaki na mwanangu maana ulinikuta naye" kifupi huwa hawajali sana mahusiano yao na mwanaume wanawaza watoto wao tu, ndiyo maana wanaume wengi wanawakwepa. Mimi binafsi nilishaapa kutooa mwanamke aliyezaa na mzazi mwenzie yuko hai labda awe hayupo duniani,nimshuhudia mahusiano mengi ya single mothers yalivyo na shida, na kuna utofauti mkubwa kati ya single dady na single mother katika mahusiano.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom