Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,548
- 88,539
Yaani tunaowaambia ukweli ndiyo tuna matatizo ila wanaowapigia makofi kwenye kila kitu mnachosema hata kama ni ujinga ndiyo hawana matatizoMpeleke muhimbili mkuu, naona huyu binti ako na tatizo kidogo