Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Hiii tujazane ujinga au ndiyo uhalisia uliopo? Nimekwambia tunashuhudia ndoa nyingi ambazo wanawake wana tabia hizo na ndoa zinadumu vizuri tu hii dunia imeshaharibika yaani

Hivyo msidhani hizi pumba mnazoongea humu eti watu wote kabisa wanazifanyia kazi hakuna kitu kama hicho wanaume waovu na wanawake waovu walikuwepo wapo na wataendelea kuwepo hadi mwisho wa dunia

Hiyo dunia mnayoitaka ninyi eti wanaume muwe mashetani mfanye tu maovu mnavyojisikia ila wanawake wawe malaika watulie tu wawe wapole haijawahi kuwepo haipo na haitakuja kuwepo

Na huo ndiyo ukweli mchungu wewe wanawake wasioolewa wanakuuma nini tafuta mmoja mwenye tabia nzuri oa tulia kama unaona hawapo endelea kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha ukifa utaenda kujuana na Mungu vizuri huko!
Mpenzi umeniangusha yaani mstari mmoja wa huyo kijana unaujibu kwa paragraphs. Anyway inaonekana kama povu
 
Hiii tujazane ujinga au ndiyo uhalisia uliopo? Nimekwambia tunashuhudia ndoa nyingi ambazo wanawake wana tabia hizo na ndoa zinadumu vizuri tu hii dunia imeshaharibika yaani

Hivyo msidhani hizi pumba mnazoongea humu eti watu wote kabisa wanazifanyia kazi hakuna kitu kama hicho wanaume waovu na wanawake waovu walikuwepo wapo na wataendelea kuwepo hadi mwisho wa dunia

Hiyo dunia mnayoitaka ninyi eti wanaume muwe mashetani mfanye tu maovu mnavyojisikia ila wanawake wawe malaika watulie tu wawe wapole haijawahi kuwepo haipo na haitakuja kuwepo

Na huo ndiyo ukweli mchungu wewe wanawake wasioolewa wanakuuma nini tafuta mmoja mwenye tabia nzuri oa tulia kama unaona hawapo endelea kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha ukifa utaenda kujuana na Mungu vizuri huko!
We endelea kujijaza ujinga ukifika 50 hujaolewa ndo utajua nini wanaume tunaamanisha
 
FB_IMG_15674050545297373.jpeg
laiti kama hao single women wangekuwa kama my mother house Marianah kama mnavyomuona kwenye hicho kikao wangeshapata waume.
 
Ndiyo kwa sababu mambo tunayoyaongelea yapo kidunia zaidi na siyo kijamii pekee
Wewe mtanzania halafu unachukulia reference lifestlye ya mfano Japan. Ina make sense kweliiiiiiii ?
 
Hiyo namba tatu wengi huwa wananisema ila nadhani wananionea
 
Oohh sawa wapo wanaume wasiofanya hivyo lakini mwanamke atajuaje kwamba kampata mwanaume ambaye hatafanya hivyo? Na ukizingatia wanaume wanaofanya hivyo ndiyo wengi kuliko wasiofanya hivyo!
Point hapa ni kwamba Ukii tune akili yako ku focus wanaosaliti wake zao basi siku zote utaishia kuamini wanaume wote wanasaliti wanawake walioanza nao from the scratch and vice versa
 
We endelea kujijaza ujinga ukifika 50 hujaolewa ndo utajua nini wanaume tunaamanisha
Kwa taarifa yako nina miaka 42 na nina mume na watoto sasa sijui unadhani mimi ni kama hivyo videmu vyako unavyohangaika navyo
 
Back
Top Bottom