Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Ambaye namuona mimi au ambaye anaonekana na watu??Huyo mwanamke ambaye wewe unamuona ana sifa zote nzuri atakuwa ni punguani lazima.
Na halafu kwahiyo wanaume mnataka wanawake wawe wakamilifu??
Ambaye namuona mimi au ambaye anaonekana na watu??Huyo mwanamke ambaye wewe unamuona ana sifa zote nzuri atakuwa ni punguani lazima.
Hivi unakubali ukweli kwamba ndoa hasa za kiafrika kwa asilimia kubwa inabebwa na mwanamke!?Sijageneralize nimesema wapo (maana yake baadhi) wanawake ambao wana sifa nzuri na wananyanyaswa na waume zao na siyo wote wewe kitu kama haujawahi kukiona wala kukisikia haimaanishi kwamba hakipo
Kwa sababu mume wangu anajielewa siyo msaliti wala mnyanyasaji mind you nimesema mume wangu na hiyo haimaanisha kuwa waume wote wapo kama mume wanguKwanini haupo miongoni mwao!?
Kwamba unataka kusemaje labda??Hivi unakubali ukweli kwamba ndoa hasa za kiafrika kwa asilimia kubwa inabebwa na mwanamke!?
Una uhakika gani kwamba hakusaliti, au kwa vile anajitahidi usigundue!?
Siyo msaliti au hujajua(hujagundua) kuwa ni msaliti??Kwa sababu mume wangu anajielewa siyo msaliti wala mnyanyasaji mind you nimesema mume wangu na hiyo haimaanisha kuwa waume wote wapo kama mume wangu
Jibu swali.
Hivi mbona hili swali wanaume mnauliza sana?? Vipi kwani mnataka kila mwanaume awe msaliti kama ninyi ili ule msemo wenu wa kijinga kuwa "hakuna mwanaume asiyechepuka" utimie??Siyo msaliti au hujajua(hujagundua) kuwa ni msaliti??
Hahahaaa.. Usiseme hakusaliti. Sema hujagundua bado.
Acha niende zangu gym,kubishana sana na mwanamke siwezi..Hivi mbona hili swali wanaume mnauliza sana?? Vipi kwani mnataka kila mwanaume awe msaliti kama ninyi ili ule msemo wenu wa kijinga kuwa "hakuna mwanaume asiyechepuka" utimie??
Acha niende zangu gym,kubishana sana na mwanamke siwezi..
Mida ya Morning glory though,mbless mumeo..
We dada una mtazamo wa kifeminist. But remember this is Africa, where those ideas have proved failure. Acha kuwapotosha wenzako hasa singles. Utawafanya wasiolewe milele.
No my dear. I even wish so.