Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Hiii tujazane ujinga au ndiyo uhalisia uliopo? Nimekwambia tunashuhudia ndoa nyingi ambazo wanawake wana tabia hizo na ndoa zinadumu vizuri tu hii dunia imeshaharibika yaani

Hivyo msidhani hizi pumba mnazoongea humu eti watu wote kabisa wanazifanyia kazi hakuna kitu kama hicho wanaume waovu na wanawake waovu walikuwepo wapo na wataendelea kuwepo hadi mwisho wa dunia

Hiyo dunia mnayoitaka ninyi eti wanaume muwe mashetani mfanye tu maovu mnavyojisikia ila wanawake wawe malaika watulie tu wawe wapole haijawahi kuwepo haipo na haitakuja kuwepo

Na huo ndiyo ukweli mchungu wewe wanawake wasioolewa wanakuuma nini tafuta mmoja mwenye tabia nzuri oa tulia kama unaona hawapo endelea kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha ukifa utaenda kujuana na Mungu vizuri huko!
Wee jazaneni huu ujinga muone matokeo yake.
 
Moja kati ya sababu ni hizi:

1. Umejirahisi sana, ukiwekewa kamtego unanasa, unachezewa, unaachwa.

2. Unachagua sana, ukiwakataa wapambanaji badala yake unangojea waliokwisha pambana kimaisha na kutoka.

3. Una mdomo (nyodo, kiburi) na tabia zingine zisizovumilika kwa wanaume (seems not ready to be submissive)

4. Hujichanganyi na watu wapya, uko na walewale wanaokujua inside out.

5. Njaa njaa zisizo na msingi. Mkibadilishana namba tu ushaomba vocha na mama ashaugua tayari.

6. Kukosa sifa za kuwa mke. Unasomeka kiviwanjaviwanja tu na kimatanuzi. Huoneshi kama una vision.

7.....
8.........
9.............View attachment 1194537
Kuna mmoja alikuwa ananiambia mabwana zake ni watu wazito wazito Serikalini!
Baada ya kama mwaka ivi alinitamkia kabisa kwamba anataka na anatamani azae nami!
Nikamwambia vipi vigogo wako hawawezi kutungisha mimba?
 
Nitaassume unatumiaga bible

Genesis 2:18
The Lord God said, “It is not good for the man to be alone. I will make a helper suitable for him.

Mungu alimuumba mwanamke katika mapungufu ya mwanaume, Ili mwanaume akamilike he needs a suitable woman and not just any woman.

Hivyo kuna namna ambayo mwanamke anatakiwa awe ili awe suitable kwa mwanaume na kukamilisha pale palipo na mapungufu ya mwanaume. Hopefully umenielewa
Marianah ni shemeji yako kwangu mkuu ila ni mbishi hatari.
 
for a cleaver and smart man, the real DEAL in a lady is the way of THINKING of that lady, sio sura au maumbile au nini, sababu kuu ni hii hapa, THE REAL PERSON IS THAT PERSON WAY OF THINKING PERIOD, akili ndio mtu, sio urembo au ile au kile, angalia wanaojiita warembo vile wanatumiwa ovyo, kina wema, zari, hamisa , na yule mkuu wa wilaya kule mkoa kagera, mimi afadali nione binti ambae hata hawezi shinda mashidano ya urembo hapo kijijini mwao lakini ako na akili ya maendeleo badala ya kuoa miss tanzania ambae akili hana hata robo kilo, so urembo sio kitu to a right minded thinking man, barikiwa dada
Hasipokuelewa bora ajitoe JF
 
Kumbe tunaongelea uhalisia uliopo?? Sasa mbona wapo wanawake wengi tu wenye tabia mbovu na wanaolewa??

Halafu tusiongelee bongo tu tuvuke boda maana dunia haijashia bongo tu duniani hapa wapo wanawake wanaolewa wakiwa na miaka 40 hadi 60 unabisha
Wewe mtanzania halafu unachukulia reference lifestlye ya mfano Japan. Ina make sense kweliiiiiiii ?
 
Sasa hao wanaoanza na ninyi from zero to hero si ndiyo hao mkija pata hela mnawasaliti??
Point hapa ni kwamba Ukii tune akili yako ku focus wanaosaliti wake zao basi siku zote utaishia kuamini wanaume wote wanasaliti wanawake walioanza nao from the scratch and vice versa
 
Back
Top Bottom