Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Kumbe tunaongelea uhalisia uliopo?? Sasa mbona wapo wanawake wengi tu wenye tabia mbovu na wanaolewa??Mwanaume anaweza kuoa hata kwenye 60s. Vice versa is 'not' true.
Halafu tusiongelee bongo tu tuvuke boda maana dunia haijashia bongo tu duniani hapa wapo wanawake wanaolewa wakiwa na miaka 40 hadi 60 unabisha
