Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Wow ila wanawake ndiyo mnataka mkute wamekamilika tayari ni wife material kwa sababu wao ni malaika ila wanaume ndiyo binadamu si ndiyo??
You got me very wrong young girl, this is a talk abaut single ladies, bring one abaut single men and you will see how i will respond, nice weekend girl
 
Wanataka ma-HB na wenye hela;bila kujua hao wanaowahitaji kuna watu waliteseka nao from zero to hero
hawajui mume ambae ako na hela anafuatwa na wengi sana, pili mume wenye hela ako na options tele, na lingine mume weye hela kitu anatazama ni hiki, je huyu binti atakuja maishani wangu kuleta faida gani, yaani men of means wanaume tulio na mihera hatuangalii sana hali ya kiuchumi ya dada NO NO NO tunaangalia je huyu dada atakuwa wa mafanikio au faida gani kwangu, maana mume tajiri anataka ongeza utajiri wake, so anataka dada ambae atamusaidia kuongeza utajiri wake,
 
You got me very wrong young girl, this is a talk abaut single ladies, bring one abaut single men and you will see how i will respond, nice weekend girl
What measure, you have taken to realize that she is a girl?
 
Kwani wewe hutaki mdada mzuri?
for a cleaver and smart man, the real DEAL in a lady is the way of THINKING of that lady, sio sura au maumbile au nini, sababu kuu ni hii hapa, THE REAL PERSON IS THAT PERSON WAY OF THINKING PERIOD, akili ndio mtu, sio urembo au ile au kile, angalia wanaojiita warembo vile wanatumiwa ovyo, kina wema, zari, hamisa , na yule mkuu wa wilaya kule mkoa kagera, mimi afadali nione binti ambae hata hawezi shinda mashidano ya urembo hapo kijijini mwao lakini ako na akili ya maendeleo badala ya kuoa miss tanzania ambae akili hana hata robo kilo, so urembo sio kitu to a right minded thinking man, barikiwa dada
 
Wananusa kwa pua zao za viwango vya nyuki wakiwa miguu nnje ndani ndani nnje maana hapashikiki hata kidogo kwa uchungu uliowapa hawa viumbe
 
Kuna mmoja ni co-worker ana jeuri na kiburi hatari aisee hahahah

Ana sura ngumu sana sana sana

Swag za kike ila company za kiume

Kashapitisha 30 yuko 31 kama sikosei

10 years anakaa geto no kids no spouse .

Huwa namuangaliaga tu halafu bado ana ndoto za kuolewa

Na anachagua chagua balaa yaani anajiona keki eti yeye namba D hahahahah

Wanawake bhana
 
Kuna mmoja ni co-worker ana jeuri na kiburi hatari aisee hahahah

Ana sura ngumu sana sana sana

Swag za kike ila company za kiume

Kashapitisha 30 yuko 31 kama sikosei

10 years anakaa geto no kids no spouse .

Huwa namuangaliaga tu halafu bado ana ndoto za kuolewa

Na anachagua chagua balaa yaani anajiona keki eti yeye namba D hahahahah

Wanawake bhana
aisee nasubiri mrejesho tuone mwisho wake
 
Kuna mmoja ni co-worker ana jeuri na kiburi hatari aisee hahahah

Ana sura ngumu sana sana sana

Swag za kike ila company za kiume

Kashapitisha 30 yuko 31 kama sikosei

10 years anakaa geto no kids no spouse .

Huwa namuangaliaga tu halafu bado ana ndoto za kuolewa

Na anachagua chagua balaa yaani anajiona keki eti yeye namba D hahahahah

Wanawake bhana
Kwa hyo ni TZA iliyopimpiwa sio?
 
Yeap ila hiyo siyo ticket ya mwanaume kutenda maovu anavyojisikia!!
Nitaassume unatumiaga bible

Genesis 2:18
The Lord God said, “It is not good for the man to be alone. I will make a helper suitable for him.

Mungu alimuumba mwanamke katika mapungufu ya mwanaume, Ili mwanaume akamilike he needs a suitable woman and not just any woman.

Hivyo kuna namna ambayo mwanamke anatakiwa awe ili awe suitable kwa mwanaume na kukamilisha pale palipo na mapungufu ya mwanaume. Hopefully umenielewa
 
Back
Top Bottom