Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Single ladies: Kwanini uko benchi mpaka leo?

Mkuu na mwanaume naye akifanya hayo anastahili kuoa??
Moja kati ya sababu ni hizi:

1. Umejirahisi sana, ukiwekewa kamtego unanasa, unachezewa, unaachwa.

2. Unachagua sana, ukiwakataa wapambanaji badala yake unangojea waliokwisha pambana kimaisha na kutoka.

3. Una mdomo (nyodo, kiburi) na tabia zingine zisizovumilika kwa wanaume (seems not ready to be submissive)

4. Hujichanganyi na watu wapya, uko na walewale wanaokujua inside out.

5. Njaa njaa zisizo na msingi. Mkibadilishana namba tu ushaomba vocha na mama ashaugua tayari.

6. Kukosa sifa za kuwa mke. Unasomeka kiviwanjaviwanja tu na kimatanuzi. Huoneshi kama una vision.

7.....
8.........
9.............View attachment 1194537
 
THATS THE NAKED TRUTH, huu ndio ukweli mtupu, lakini wengi watapinga, sababu moja ya single ladies kudate married men ni hii, hao masingles wanataka DESTINY UNCOVERED, badala ya kuchukua DESTING CONCEALED, yaani wantaka mume ambae amekamilika, badala ya kuchukua mwanaume na kumufanya a HUSBAND, wengi will attack me, but ukweli ni ukweli, ladies no man is a husband material, you take him and you make him one,
Wow ila wanawake ndiyo mnataka mkute wamekamilika tayari ni wife material kwa sababu wao ni malaika ila wanaume ndiyo binadamu si ndiyo??
 
Wow ila wanawake ndiyo mnataka mkute wamekamilika tayari ni wife material kwa sababu wao ni malaika ila wanaume ndiyo binadamu si ndiyo??
Nitaassume unatumiaga bible

Genesis 2:18
The Lord God said, “It is not good for the man to be alone. I will make a helper suitable for him.

Mungu alimuumba mwanamke katika mapungufu ya mwanaume, Ili mwanaume akamilike he needs a suitable woman and not just any woman.

Hivyo kuna namna ambayo mwanamke anatakiwa awe ili awe suitable kwa mwanaume na kukamilisha pale palipo na mapungufu ya mwanaume. Hopefully umenielewa
 
Muda wao wa kuingia kwenye mahusiano haujafika.
Hawahitaji kuingia kwenye mahusiano kwa kufuata mkumbo tu au ili waonekane nao wapo kwenye mahusiano.
Muda gani unauzungumzia, mtu yuko kwenye late 20s na 30s & above, muda upi bado hapo?
 
Back
Top Bottom