excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,862
Hahaaaaha... Ndo Mimi jamani
mi niliambiwa kwamba, eti mnaoanziwa na majina ya herufi A huwa ni wataaam!.... na wazuuuurii!!
btw, this is for you!!
Hahaaaaha... Ndo Mimi jamani
Punguza vigezo basi nimeishia form two
Just for love
Mkuu hii kitu ndio unamhonga angelita au unamualika tu maana kama ukimwaga basi umepitiliza.... utawapata wengi sana...mi niliambiwa kwamba, eti mnaoanziwa na majina ya herufi A huwa ni wataaam!.... na wazuuuurii!!
btw, this is for you!!
![]()
mi niliambiwa kwamba, eti mnaoanziwa na majina ya herufi A huwa ni wataaam!.... na wazuuuurii!!
btw, this is for you!!
![]()
mimi ningeomba kufahamu kuhusu wewe umri,profesional yako na elimu yako
punguza vigezo basi nimeishia form two
just for love
Wamekudanganya wengine ni wachungu mwarobaini una afadhari
Unamiliki marikebu? watoto wapo nje nje!kitu gani iyo, angelita simfaham jo
Punguza vigezo basi nimeishia form two
Just for love
Mkuu achana na wa nje ya vigezo vyako hao tuachie sisi...utaja nasa kwenye tundu ambalo si lakotutaftane utazungumza,