Single ladies inawahusu

Single ladies inawahusu

Mao ze dong

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2012
Posts
941
Reaction score
1,014
Jamii forum ilinifanye nipate kazi mpaka nikapata ada ya chuo na sasa naamini itanipa mke,baada ya upweke wa muda mrefu kutokana na kazi, napenda kusema nimefungua ukurasa mpya wa mapenz kwa aliye serious, kiwango chake cha elimu kuanzia form 4, umri miaka 18 hadi 24, asiwe mlevi wala mvutaj, kwa uliyetayar tutaftane 0768500842,
 
Mimi nitakuwa Bestman ukimpata huyo unayemtafuta... ila kwa uharaka zaidi wawekee mshahara wako mkuu wauelewe sio ukawalishe madada zetu wa JF Ugaliwa muhogo ,Kisamvu na Dagaa ndio iwe nyama kwako... utakimbiwa au utaibiwa na jamaa za Sokoni....
 
Jamii forum ilinifanye nipate kazi mpaka nikapata ada ya chuo na sasa naamini itanipa mke,baada ya upweke wa muda mrefu kutokana na kazi, napenda kusema nimefungua ukurasa mpya wa mapenz kwa aliye serious, kiwango chake cha elimu kuanzia form 4, umri miaka 18 hadi 24, asiwe mlevi wala mvutaj, kwa uliyetayar tutaftane 0768500842,

Ukurasa??.. mmh!

ngoja tu niendelee kunyonya mie!
 
Ambatanisha na salary slip kabsa na vitega uchumi unavyomilik faster wenye bahat zetu tutajitokeza
 
Hahahaaa sasa kama nmefika form 4 halafu nina divesheni faivu!
Kwikwikwi shoga si bora we umri unaweza kudanganyia....mie meishia la saba atiii ngoja niendelee kusubiri labda atakuja atakaesema elimu kiwango chochote !!
 
All the best ingwaje hujasema jinsia gani wewe?? Na unataka jinsia gani??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom